Mambo ya kutisha kuhusu Mamelod Sundowns "Masandawana"

Mamamamaaaaaa, Huyo BONGANI ZUNGU yupo, hilo jitu la miraba minne limepachikwa jina la "Mkata Umeme" ni hatari unaambiwa hilo jitu
 
Wydad si kabondwa kwenye final ya AFL? au unazungumzia wydad ipi? Mazembe si kapigwa kwenye makundi? Au habari huna??
Nazungumzia mechi za knockouts Wydad aliwafunga kwake, Mazembe aliwafunga pia kwake.

Kwenye knockouts Wydad msimu uliopita tu aliwachomoa kwa sare ya mbili mbili.

Ukiwashambulia defenders wao huwa wanafanya makosa mengi sana.

Timu ambayo haijazoea kushambuliwa sana weakness kubwa huwa kwenye centre backs hawawezi kuabsorb pressure ya mashambulizi ya mara kwa mara.
 
Hao ni wakawaida sana tu πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…