Kinachoharibika kwenye "Compressor" ni "Relay" dumu la compressor kama halijatoboka linaweza kukaa hata miaka mia moja 100yrs,kwahiyo hamna kuzeeka kwenye compressor.Relay ni kitu kiko juu ya compressor ambacho unaweza kukitoa na kukibadilisha,ubora wa Relay inatokanana nchi gani imetengenezwa..
Comressor bora kuliko zote ni Danfos..
Kama nilivyosema hapo mwanzo,bei ya relay inatokana na wapi umenunua,nchi gani inatoka nk,kwasasa siwezi kukwambia kwa uhakika bei ya relay,lakini nafikiri kuanzia 10000 kwenda juu,Kuna kitu chengine nataka kuongezea katika utumiaji wa Frigi,Kwakweli frigi unapoliwasha halitakiwi lizimwe..Hii relay ndio shida haswaa! Hapa fafanua zaidi utajuaje km relay haiko vizuri? Pili, inauzwa bei gani?
Sio tatizo, hilo fridge ni zile zinazoitwa *No frost ", ndio fridges za kisasaMi nina fridge ya Samsung haitoi barafu lakini nikiweka vyakula au maji vinanganda je hilo nitatizo?
ok, lakini pia hii fridge ni mtumba yaani used ina specfication hizi hapaSio tatizo, hilo fridge ni zile zinazoitwa *No frost ", ndio fridges za kisasa
Kama kila ukiliwasha umeme unakatika basi hilo fridge lina "short circuit" mwite fundi aliangalie sehemu za umeme, kutokana na specifications ulizoandika hapo juu hilo fridge linafaa kutumika Tanzania, lakini kwanini ununue kitu ambacho kina matatizo, tafuta frigi jingeneok, lakini pia hii fridge ni mtumba yaani used ina specfication hizi hapa
model SR-21NME
net capacity FREE 52Lts, REF 135Lts, Total 187 Lts
Weight 52kg (114.66ib)
power source AC220V-/50Hz
refrigerant HFC -134a, 130g (4.59oz)
Rated current 0.9A
Defrost Input 120W
climatic class of the appliance ST
Rated maximum input of lam15W
made in thailand DA68-01405A
ni naomba kujua matumizi yake je kwa upande wa matumizi ya umeme nizime na kuwasha au niiache ikiwaka tu hadi umeme utakapo isha?
but pili siku naileta niliisafilisha kwa bus nimeifikisha kwangu usiku kesho ake asubuhi nikaiwasha ila kila nikiiwasha umeme unakatika nyumba nzima nikamuita fundi akaja kulekebisha akangundua kuna waya zilokuwa hazipitishi umeme na kifaa kimekaa kama tube vacuum ni chaa chupa na ndani ya hiyo vacuum imepita waya nyembamba ambayo tulikuta imepasuka naomba kujua hicho kifaa kinafanya kazi gani na kikitolewa fridge inapata tatizo gani? asanteni
Mkuu, Brand gani inafaa (nzuri zaidi) kwa matumizi ya nyumbani?Kwako wewe haijalishi. Ila tunaojua Quality tunajali.
no nahisi hii imetokana na mtikisiko wa usafiri nolio utumia make muda nalibeba lilikuwa poa sana lakini baada ya kulifikisha ndo hayoyakatokea, na safari ilikuwa ndefu sana Kwani ni zaidi ya km170Kama kila ukiliwasha umeme unakatika basi hilo fridge lina "short circuit" mwite fundi aliangalie sehemu za umeme, kutokana na specifications ulizoandika hapo juu hilo fridge linafaa kutumika Tanzania, lakini kwanini ununue kitu ambacho kina matatizo, tafuta frigi jingene
Kama fridge umelisafirisha inatakiwa uliweke kwa muda kabla hujaliwashano nahisi hii imetokana na mtikisiko wa usafiri nolio utumia make muda nalibeba lilikuwa poa sana lakini baada ya kulifikisha ndo hayoyakatokea, na safari ilikuwa ndefu sana Kwani ni zaidi ya km170
Hiki ulichosema ndio cha muhimu ,pamoja na Compressor kuwa nzima hakikisha ni Frost free ili fridge itende at its capacity, huku uswahilini wenyewe tunaamini Fridge yenye kugandisha mibarafu ndani au kuta zake za ndani ndio efficient kumbe sio.Hakikisha ni Frost Free...haligandi mabarafu kwenye kuta, kutoa chakula mpaka upasue barafu
Hili nalo neno, nakumbuka wakati tunakuwa tulikuwa tunashuhudia fridges mpya zilizonunuliwa na wazazi mpk zina oza kwa kutu bado zinadunda,nakumbuka nilipoanza kujitegemea nilishawishika kununua fridge moja used ilikuwa inavutia kwa muonekano na bei ilikuwa reasonable, wallah nakwambia bado kdg niwe fundi fridge maana unatoka job unakuta limebuma, mara leo relay ,kesho compressor keshokutwa condessor ya nje inahitajika mtondogo external fan inahitajika nikaamua kumuuzia fundi mwenyewe anayenitengenezeaga, nikanunua brand new fridge sasa ni more than 10yrs sijaingia jikoni kukagua fridge eti haifanyi kazi nilichokiona kuna kutu kdg kwenye kona ya mlango, anyway hii lzm maana naishi karibu na bahari.Kuna vitu vya kununua used ila fridge sikushauri,sisemi usinunue nunua kama anayekuuzia ni mtu mnaeheshimiana sana maana risks za kuikuta tofauti na matarajio yako ni nyingi mno.
Brother angu mwaka flani alifanya hiko kitendo,alijuta maana inafika home wiki tu ikazingua peleka kwa mpemba mpemba kamwambia iache ipitie jioni akaifikisha tena kwake siku ya nne imekataa tena akaipeleka tena ikirudi yale yale yaani ikifanya kazi muda mrefu ni wiki 3......
Alikaa akapiga hesabu zile route za kuitoa K/koo mtaa wa Uhuru hadi kwake Kibamba na kirikuu changanya na muda aliopoteza na vifaa alivyonunulishwa akakuta kumbe angeongeza 85,000/= tu angepata fridge mpya yenye ukubwa sawa na ile ile na siku iliposumbua tena akaibeba kuipeleka akaambiwa anunue compressor aliiacha huko huko akajichanga akanunua mpya dukani.
Wakati wa kununua hakikisha contract unayoingia na muuzaji inam'bana yeye maana wana kawaida ukiishawapa hela ukabeba zigo nakuambia hata ukija kesho yake asubuhi na mapema ukawaambia ina tatizo basi wataongea na wewe as if umekuja kuwaomba ushauri,yaani hawakujali kabisa!
Brand gani ya friji ina kuja na iyo Danfos compressor!?Kinachoharibika kwenye "Compressor" ni "Relay" dumu la compressor kama halijatoboka linaweza kukaa hata miaka mia moja 100yrs,kwahiyo hamna kuzeeka kwenye compressor.Relay ni kitu kiko juu ya compressor ambacho unaweza kukitoa na kukibadilisha,ubora wa Relay inatokanana nchi gani imetengenezwa..
Comressor bora kuliko zote ni Danfos..
Fridge yoyote inaweza kuja na aina iyo ya compressor maana mtengeneza body la fridge ni mwingine na mtengeneza compressor ni mwingine ivyo huwa wanafanya kuunganisha izo parts kikubwa ukienda kununua muulize uyo muuzaji kwamba fridge analokuuzia lina comprssor ya aina gani?Brand gani ya friji ina kuja na iyo Danfos compressor!?
Dah...na ajue kuwa atatumia LUKU Mara 3 zaidi ikiwa hata nunua linalogandisha moja kwa moja[emoji41]Hakikisha ni Frost Free...haligandi mabarafu kwenye kuta, kutoa chakula mpaka upasue barafu