The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Binafsi hata mimi. Ni vyema kulala hotelini kuliko ugenini kwa mtu.Mimi napenda sana niwe na pesa za kutosha ili nisiwe mgeni kwa watu, natamani kuwa nalala Hotel kila mara, kwa mtu niende asubuhi then mchana niondoke, huwa sina amani kabisa kwa watu
......mkuu hongera kwa Uzi mzuri wa kujenga, ungekuwa mwalimu ningekuajiri uwe mwalimu wa somo la life skills........1. NJOO NA MAHITAJI YAKO MADOGODOGO
Njoo na mswaki wako, sabuni yako ya kuogea na dawa yako ya mswaki, taulo na mahitaji yako mengine madogomadogo. Kuna wageni wanaomba hadi nguo za...kwa wenyeji sio vizuri.
2. USIFUNGUE FRIJI WALA MAKABATI
Usifungue friji ya wenyeji au makabati bila kuambiwa ufanye hivyo. Mgeni unasikia kiu omba maji kwa wenyeji sio unaanza kufungua friji bila ruhusa eti unatafuta maji ya kunywa. Ukihitaji kitu omba kwa wenyeji sio kuanza kupekuapekua.
3. USIBAKI SEBULENI
Wenyeji wakiingia kulala usibaki sebuleni unatazama TV ingia chumbani kwako. Sambamba na hilo mkiwa mnatazama TV sebuleni usianze kushika rimoti na kubadili channel bila ruhusa ya wenyeji.
4. USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe. Kama uliwaambia utakaa wiki ikifika ondoka sio unasubiri hadi wakuulize unaondoka lini.
5. USIINGILIE MAZUNGUMZO
Ikatokea wenyeji hasa mke na mume wana mjadala wao wa mambo yao binafsi usipende kuingilia na kujifanya mshauri bila kuombwa kufanya hivyo. Labda wanapanga wapike nini siku hiyo mgeni usharukia kuchagua chakula kaa kwa kutulia. Katika jambo lolote wanalojaldili subiri uombwe ushauri.
6. USITEMBELEE MAJIRANI
Usitembelee majirani "ooh jamani mie ndo mpwa wa huyu jirani yenu nimeona niwasalimie".... Pata ruhusa ya wenyeji wako kwanza kabla hujaanza kuzunguka kwa majirani. Sambamba na hilo usilete wageni hapo ulipofikia bila kumtaarifu Mwenyeji wako.
7. KULA VYAKULA VILIVYOPO
Jitahidi kula chakula kinachowekwa mbele yako na kama vinakupa shida basi nunua hivyo vyakula sio "ooh maharage yananiumiza tumbo" kanunue nyama ulete wakupikie.
8. USITUMIE VIFAA VYA WENYEJI
Usianze kutumia vifaa vya wenyeji bila ruhusa mfano unaanza kuwasha computer au vifaa vya mazoezi . Usianze kuzunguka nyumba na kuingia kila mahali labda mwenyeji wako akuoneshe sio kukagua nyumba nzima na kuingia vyumba ambavyo hujaambiwa.
9.SAIDIA KAZI
Tandika kitanda chako na safisha chumba ulichopewa kulala. Saidia kazi za hapo nyumbani ulipofikia labda wakukataze wenyeji. Sambamba na hilo utakapoondoka acha chumba katika hali ya usafi kama ulivyokikuta.
10. USIJE MIKONO MITUPU
Usije mikono mitupu beba zawadi kidogo kwa wenyeji wako.
Tukutane Taifa Yanga anapiga mtu 2 bili
Shida huanza mgeni ukifikia mahali ambapo kuna KE,hawa ndiyo hatari ila mgeni ukifikia mahali mkawa ME kwa ME angalau hapawi pagumu.Kwakweli hiki kipengele cha ugeni kwangu huwa ni changamoto kiasi naonekana nna roho mbaya....
Hivi serious mgeni unakaa kwangu miezi 3+ halafu bado unataka nikutreat kama mgeni nikuandalie sijui maji nikuletee msosi chumba kwako nikusafishie chumbani??? Hapana sina huu muda treatment za hivo utazipata within a week kama tofauti na hapo nna roho mbaya basi sawa.
Hakuna cha me wala ke, ustaarabu unahitajika pia usikae ugenini hadi ukachokwa tena ukae tu bila sababu sio mgonjwa sio mwanafunzi upo tu yani heeeeeShida huanza mgeni ukifikia mahali ambapo kuna KE,hawa ndiyo hatari ila mgeni ukifikia mahali mkawa ME kwa ME angalau hapawi pagumu.
Yani siku inakuwaga ndefu mno😀Binafsi hata mimi. Ni vyema kulala hotelini kuliko ugenini kwa mtu.
🥰1. NJOO NA MAHITAJI YAKO MADOGODOGO
Njoo na mswaki wako, sabuni yako ya kuogea na dawa yako ya mswaki, taulo na mahitaji yako mengine madogomadogo. Kuna wageni wanaomba hadi nguo za...kwa wenyeji sio vizuri.
2. USIFUNGUE FRIJI WALA MAKABATI
Usifungue friji ya wenyeji au makabati bila kuambiwa ufanye hivyo. Mgeni unasikia kiu omba maji kwa wenyeji sio unaanza kufungua friji bila ruhusa eti unatafuta maji ya kunywa. Ukihitaji kitu omba kwa wenyeji sio kuanza kupekuapekua.
3. USIBAKI SEBULENI
Wenyeji wakiingia kulala usibaki sebuleni unatazama TV ingia chumbani kwako. Sambamba na hilo mkiwa mnatazama TV sebuleni usianze kushika rimoti na kubadili channel bila ruhusa ya wenyeji.
4. USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe. Kama uliwaambia utakaa wiki ikifika ondoka sio unasubiri hadi wakuulize unaondoka lini.
5. USIINGILIE MAZUNGUMZO
Ikatokea wenyeji hasa mke na mume wana mjadala wao wa mambo yao binafsi usipende kuingilia na kujifanya mshauri bila kuombwa kufanya hivyo. Labda wanapanga wapike nini siku hiyo mgeni usharukia kuchagua chakula kaa kwa kutulia. Katika jambo lolote wanalojaldili subiri uombwe ushauri.
6. USITEMBELEE MAJIRANI
Usitembelee majirani "ooh jamani mie ndo mpwa wa huyu jirani yenu nimeona niwasalimie".... Pata ruhusa ya wenyeji wako kwanza kabla hujaanza kuzunguka kwa majirani. Sambamba na hilo usilete wageni hapo ulipofikia bila kumtaarifu Mwenyeji wako.
7. KULA VYAKULA VILIVYOPO
Jitahidi kula chakula kinachowekwa mbele yako na kama vinakupa shida basi nunua hivyo vyakula sio "ooh maharage yananiumiza tumbo" kanunue nyama ulete wakupikie.
8. USITUMIE VIFAA VYA WENYEJI
Usianze kutumia vifaa vya wenyeji bila ruhusa mfano unaanza kuwasha computer au vifaa vya mazoezi . Usianze kuzunguka nyumba na kuingia kila mahali labda mwenyeji wako akuoneshe sio kukagua nyumba nzima na kuingia vyumba ambavyo hujaambiwa.
9.SAIDIA KAZI
Tandika kitanda chako na safisha chumba ulichopewa kulala. Saidia kazi za hapo nyumbani ulipofikia labda wakukataze wenyeji. Sambamba na hilo utakapoondoka acha chumba katika hali ya usafi kama ulivyokikuta.
10. USIJE MIKONO MITUPU
Usije mikono mitupu beba zawadi kidogo kwa wenyeji wako.
Tukutane Taifa Yanga anapiga mtu 2 bili
.......na kwa kuongezea tu usipende kutembelea watu ambao ni wenza, couple nyingi za siku hizi hazipendi jam sebuleni....mtu kaoa/kaolewa leo lakini kesho tayari ndugu wanaanza kujazana, wengi wanaboreka....... honestly ugeni ni siku tatu tu, ya nne unaaga na unawaambia kabisa bajaji iko nje.......sio unakaa hadi siku unapoondoka wanaogopa kusema karibu tena ebooh!!!......Hakuna cha me wala ke, ustaarabu unahitajika pia usikae ugenini hadi ukachokwa tena ukae tu bila sababu sio mgonjwa sio mwanafunzi upo tu yani heeeee
🤣🤣🤣 Karibu beer.......na kwa kuongezea tu usipende kutembelea watu ambao ni wenza, couple nyingi za siku hizi hazipendi jam sebuleni....mtu kaoa/kaolewa leo lakini kesho tayari ndugu wanaanza kujazana, wengi wanaboreka....... honestly ugeni ni siku tatu tu, ya nne unaaga na unawaambia kabisa bajaji iko nje.......sio unakaa hadi siku unapoondoka wanaogopa kusema karibu tena ebooh!!!......
.......lipa kwanza, maswala ya kukimbia na kuachana bills hapana......🤣🤣🤣 Karibu beer
Daaah maisha bhana unawaza jinsi ya kukaa kwa mtu kweli?Wewe Jaji Mfawidhi yaani kweli upo serious kukaa kwa mtu aisee😂😂
Ukifata njia zote hizo ndo unategemea utakaa miaka mingapi..?