Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Angalizo zuri Sana hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂🤓🤓🤓Mkuu wee ndo komoa sasa..Mimi mara nyingi nilikua sili ..nikirud nawaambia nishakula naenda tu kulala
4. USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe. Kama uliwaambia utakaa wiki ikifika ondoka sio unasubiri hadi wakuulize unaondoka lini.
Hizo mbili kwangu muhimu sana kuzingatia mtu anapokuja kwangu, mengine nishazowea kuna jamaa yangu yeye baada ya salamu moja kwa moja kwenye Friji. Akiona juice,soda,chocolate,keki,vileja au mayai lazima apite navyo.🤣🤣10. USIJE MIKONO MITUPU
Usije mikono mitupu beba zawadi kidogo kwa wenyeji wako.
Ahahahahah mbeya ya wapi hi hi mbeya uyle auKumbe wakigomaaa!apo sawa.
Ila watu wa Mbeya hii sio kwaajili yetu.Maana sie hatumchoki mgeni.
Mimi huwa nakuja bila taarifa, sijamkuta naskia kasafiri kaenda daa..., ipo hivyo.broo yeye yukowa mdahuo?
Hahaha masharti yamekua meengi, umefupisha habarii yooteKifupi mgeni usije tuh
hodiii wenyeweee?Kumbe wakigomaaa!apo sawa.
Ila watu wa Mbeya hii sio kwaajili yetu.Maana sie hatumchoki mgeni.
Yah kweli man ....Mfumo wa maisha kwa dunia ya sasa unebadilika watu hawapendani umfumo wa ubepari ndio unatawala ukileta itikadi za kijaamaa unatafuta lawama na watu .Ili uheshimiwe usipende kupokea bali uwe mtoaji .
Mfumo wa maisha umebadilika kwanza wanakuona kero labda uwe na hela ila umechoka unamchongo utakubali.Maisha ya zamani yalikua mazuri sana mnatembeleana hadi raha..ile.jioni mnawasha moto mnakaa nje mnapiga stori za maaana za maisha
Ila siku hizi hamna hayo unaenda kusalimia ndugu kila mtu yupo busy na simu
"USIZIDISHE MUDA WA KUKAA1. NJOO NA MAHITAJI YAKO MADOGODOGO
Njoo na mswaki wako, sabuni yako ya kuogea na dawa yako ya mswaki, taulo na mahitaji yako mengine madogomadogo. Kuna wageni wanaomba hadi nguo za...kwa wenyeji sio vizuri.
2. USIFUNGUE FRIJI WALA MAKABATI
Usifungue friji ya wenyeji au makabati bila kuambiwa ufanye hivyo. Mgeni unasikia kiu omba maji kwa wenyeji sio unaanza kufungua friji bila ruhusa eti unatafuta maji ya kunywa. Ukihitaji kitu omba kwa wenyeji sio kuanza kupekuapekua.
3. USIBAKI SEBULENI
Wenyeji wakiingia kulala usibaki sebuleni unatazama TV ingia chumbani kwako. Sambamba na hilo mkiwa mnatazama TV sebuleni usianze kushika rimoti na kubadili channel bila ruhusa ya wenyeji.
4. USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe. Kama uliwaambia utakaa wiki ikifika ondoka sio unasubiri hadi wakuulize unaondoka lini.
5. USIINGILIE MAZUNGUMZO
Ikatokea wenyeji hasa mke na mume wana mjadala wao wa mambo yao binafsi usipende kuingilia na kujifanya mshauri bila kuombwa kufanya hivyo. Labda wanapanga wapike nini siku hiyo mgeni usharukia kuchagua chakula kaa kwa kutulia. Katika jambo lolote wanalojaldili subiri uombwe ushauri.
6. USITEMBELEE MAJIRANI
Usitembelee majirani "ooh jamani mie ndo mpwa wa huyu jirani yenu nimeona niwasalimie".... Pata ruhusa ya wenyeji wako kwanza kabla hujaanza kuzunguka kwa majirani. Sambamba na hilo usilete wageni hapo ulipofikia bila kumtaarifu Mwenyeji wako.
7. KULA VYAKULA VILIVYOPO
Jitahidi kula chakula kinachowekwa mbele yako na kama vinakupa shida basi nunua hivyo vyakula sio "ooh maharage yananiumiza tumbo" kanunue nyama ulete wakupikie.
8. USITUMIE VIFAA VYA WENYEJI
Usianze kutumia vifaa vya wenyeji bila ruhusa mfano unaanza kuwasha computer au vifaa vya mazoezi . Usianze kuzunguka nyumba na kuingia kila mahali labda mwenyeji wako akuoneshe sio kukagua nyumba nzima na kuingia vyumba ambavyo hujaambiwa.
9.SAIDIA KAZI
Tandika kitanda chako na safisha chumba ulichopewa kulala. Saidia kazi za hapo nyumbani ulipofikia labda wakukataze wenyeji. Sambamba na hilo utakapoondoka acha chumba katika hali ya usafi kama ulivyokikuta.
10. USIJE MIKONO MITUPU
Usije mikono mitupu beba zawadi kidogo kwa wenyeji wako.
Tukutane Taifa Yanga anapiga mtu 2 bili
HYo nzuri muda wote ni kauzu tu..Ndugu wote ni wanafki........
Wapambe wapambe sana.
Niliwakacha tangu utotoni, wananiona kama kauzu.
Sitaki wanizoee na wala sijikombi kwao....
Na hajui kuwa ni kipozeo chakoWiki tu uncle. Vijana wanatoka Kigoma wanafikia kwangu mtu anakaa mwezi mzima baadae ananza kumla mpaka dada wa kazi.
[emoji1][emoji1] watu wanajisahau sana.USIWEKE MIGUU KWENYE MAKOCHI AU MEZA. .
Kuna watu wanaweka miguu katoka kupuyanga nje huko anatuliza kwenye coffee table au masofa wakati anajua hayafuliwi. .