Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Huwa napata raha sana na napenda ile ladha navyo saga nyama na wali zikiwa mdomoni.Mkuu ulishawahi kufanya kazi ambayo pesa yake ulishakula tayari? Yaani unahisi kama unafanya kazi bure.
Hivyo ndivyo huwa nahisi nikianza na nyama, happy ending ni muhimu so mimi nyama ni lazima ziwe za mwisho.
πππππ
Mtaenda angalia luku au wale waliowapasi nguo nyingi au labda kuchemsha maji kwa heater wanaanza kuangaliana...πππ hapo familia nzima mnaanza kujadiliana
Hahaha kumbe ni tanesco tu, wamefanya yaoMtaenda angalia luku au wale waliowapasi nguo nyingi au labda kuchemsha maji kwa heater wanaanza kuangaliana...
Hahahaaaa
π π π π π πHuwa napata raha sana na napenda ile ladha navyo saga nyama na wali zikiwa mdomoni.
Hii hufanyika sana hasa pale muda wa kifurushi unakaribia kwisha na bado kuna dakika nyingi. Ukipigiwa unafurahi kumbe yeye alikuwa anaokoa dakika zake zisimezwe bure.Kuwapigia watu simu hata kama hauna cha kuwaambia ili uonekane unawajali sana
100% true [emoji23][emoji23][emoji23]1. Chai na chapati mbili; yaani ukiwa mgahawani ukiagiza chai na chapati moja au zaidi ya mbili watu lazima wageuke kukuangalia, ni kama wamesikia wewe una ugonjwa wa corona bile.
2. Ukikaribishwa chakula sehemu ni lazima ukatae katae kidogo, wakikukazania kidogo ndipo unaenda kula; yaani ukaribishwe mara moja tu na uende kula! Hata aliyekukaribisha lazima ajiulize maswali, na kama alikukaribisha kwa kutania ni lazima ajutie kauli yake.
3. Mwanaume na mwanamke wanapolala kitanda kimoja, mwananamke lazima alale upande wa ukuta; yaani ikitokea mwanaume ukalala upande wa ukuta unajihisi kama umelala selo vile. Kwanza mwanaume unaanzaje kulala upande wa ukutani!??
4. Wali na maharage; binafsi huwa nikila wali ambao hauna maharage hua naona huo mchele umepotea bure kabisa.
5. Mgeni akija nyumbani akitaka kuvua viatu unamwambia haina haja ya kuvua viatu, aingie navyo tu. Najua wengi huwa hawamaanishi na kama wageni wakiingia na viatu ndani huwa wanaumia kimoyomoyo.
6.
7.
Sio tu kochi, unakabidhi na remote ya Tv..Kuna lile kochi linakuaga spesho kwa ajili ya baba, akiwepo hakalii lingne tofauti.
Hata ukiwa umekalia, ukimskia tu anarud bas automatically unajikuta ushanyanyuka umehamia kochi lingine
Hii tabia hadi leo ninayo mkuu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kale katabia nyama inaliwa mwisho kabisa.
Nyama zenyewe mbili..ukisaga si spoon mbili tu zimeisha [emoji23][emoji23] .zamani lazma umalize ugali ndo uachiwe nyama la sivyo hutomaliza ugaliHuwa napata raha sana na napenda ile ladha navyo saga nyama na wali zikiwa mdomoni.
Hahahaa wababe sana yaan, hapo anakaa af miguu anapandisha juu ya mezaSio tu kochi, unakabidhi na remote ya Tv..
Mzee bhana [emoji23][emoji23]
Hahaha kuna tabia mtu huwezi kuachaNyama zenyewe mbili..ukisaga si spoon mbili tu zimeisha [emoji23][emoji23] .zamani lazma umalize ugali ndo uachiwe nyama la sivyo hutomaliza ugali
Nyama ilitumika kama silaha, ili mtoto aweze kumaliza chakulaNyama zenyewe mbili..ukisaga si spoon mbili tu zimeisha [emoji23][emoji23] .zamani lazma umalize ugali ndo uachiwe nyama la sivyo hutomaliza ugali
Hahaha nilikuwa nachukia mno alikuwa anaangalia habari channel ten , ikifika saa mbili itv , baade bbc news tamthilia zote zinaisha .Sio tu kochi, unakabidhi na remote ya Tv..
Mzee bhana [emoji23][emoji23]