Mambo ya mazoea ambayo yakageuka kuwa kama sheria

Huwa napata raha sana na napenda ile ladha navyo saga nyama na wali zikiwa mdomoni.
 
Kuwapigia watu simu hata kama hauna cha kuwaambia ili uonekane unawajali sana
Hii hufanyika sana hasa pale muda wa kifurushi unakaribia kwisha na bado kuna dakika nyingi. Ukipigiwa unafurahi kumbe yeye alikuwa anaokoa dakika zake zisimezwe bure.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
100% true [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu kutohoji vitu vya msingi kwenye timu au wasanii anao wakubali mf km mt ni shabiki wa yanga atawapongeza tu kwa chochote hata kama ni kibaya au km n shabiki wa Kiba atampongeza Kiba na Kumponda mond pasipo hoja ya msingi mradi aoneshe chuki au dharau
 
Kuna lile kochi linakuaga spesho kwa ajili ya baba, akiwepo hakalii lingne tofauti.
Hata ukiwa umekalia, ukimskia tu anarud bas automatically unajikuta ushanyanyuka umehamia kochi lingine
Sio tu kochi, unakabidhi na remote ya Tv..
Mzee bhana [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…