Ukiwa na nyama nyingi utabadilika tuMkuu ulishawahi kufanya kazi ambayo pesa yake ulishakula tayari? Yaani unahisi kama unafanya kazi bure.
Hivyo ndivyo huwa nahisi nikianza na nyama, happy ending ni muhimu so mimi nyama ni lazima ziwe za mwisho.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unasubir marudio jmosHahaha nilikuwa nachukia mno alikuwa anaangalia habari channel ten , ikifika saa mbili itv , baade bbc news tamthilia zote zinaisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja #6,7&116.kupika ugali mchana, nyumba nyingi mchana lazima wapike ugali hata kama kuna chakula kingine
7.kupika wali usiku, nyumba nyingi usiku lazima upikwe wali maharage au wali nyama
8.chips na soda, karibu kila anayenunua chips lazima anunue na soda hasa coke ya baridi
9.kupiga mswaki na whitedent nyumba nyingi dawa ya meno wanayotumia ni whitedent
10.ukipikwa wali nyama,kila mtu achukue vipande vitatu tu vya nyama[emoji23] ukizidisha hapo unakomba mboga
11.kutazama taarifa ya habari saa mbili usiku, kuna watu mchana kutwa wapo tu hawafuatilii vyombo vya abari ila ikifika saa mbili ndio wanatazama habari, so breaking news hawazipati
Mtaangalia taarifa za habari za channel zote kinachofuatia ni mchezo. Saa nne hakuna kuangalia tamthilia za nje mtafundishwa tabia mbaya, mkalaleHahahaa wababe sana yaan, hapo anakaa af miguu anapandisha juu ya meza
Hahaha yaani umeme ukikatika ndo huoni kitu .Unasubir marudio jmos
[emoji23][emoji23] Nimeshindwa kabisaa, labda nianze na intro ya nyama af zitakazobaki zinaliwa mwishoni
Hahha sisi alikuwa anatufata anatuambia acheni kuangalia mashetani hayo [emoji23][emoji23]Mtaangalia taarifa za habari za channel zote kinachofuatia ni mchezo. Saa nne hakuna kuangalia tamthilia za nje mtafundishwa tabia mbaya, mkalale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiutana na mtu wa makamo lazma useme "shikamoo"
Mie sina huo ushwaini, nachukia sana kumwambia mtu shikamoo ila ndio hivyo kwa wengi unaonekana mshenzi...Ati mbona unisalimii, yani ukiidai hio shkamoo najiskia hata kukutukana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona umeamua kubisha kabisa kabisa, haha haaa...Itakuwa mie ndio wa ajabu manake
1.Chai nakunywa na chapati moja
2.Nikikaribishwa chakula huwa sikatai,kama nikikataa huwa naenda moja kwa moja kwenye point either kilichopikwa huwa sili ama nimeshiba
4.Sipendi maharage
5.Mgeni akija kwetu akiingia na viatu fureshi,akitaka kuvua simkatazi
Wapi hukohapo kwenye biriani [emoji39] mi huwa nakula ijumaa pia kuna dada anauza biriani kuku tamu sana
Kabisaa ingawa umaskini ulichangia.. kilo ni mboga ya mchana na jioni na familia yenyewe kubwa. Bhasi hapo ni mboga za majani pembeni, mchuzi mwingi nyama mbiliNyama ilitumika kama silaha, ili mtoto aweze kumaliza chakula
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyama zenyewe mbili..ukisaga si spoon mbili tu zimeisha [emoji23][emoji23] .zamani lazma umalize ugali ndo uachiwe nyama la sivyo hutomaliza ugali
wananiboaga kishenz hasa sista angu alikuwa analazimisha nimsalimie mume wake
Baba alikuaga na tabia akimaliza kuangalia vipindi vyake sa 3 usiku anazima anaenda kulala, anatuambia tukasome dining. Baada ya kama nusu saa anarudi kugusa TV kwa nyuma kama mliwasha hua inakua na jotojoto😂😂Mtaangalia taarifa za habari za channel zote kinachofuatia ni mchezo. Saa nne hakuna kuangalia tamthilia za nje mtafundishwa tabia mbaya, mkalale
Hujakutana na mkoloni. Huwa wana allergy na ngozi nyeupe.. home ni kuangalia majeneza ya kinigeria au movie za mzee majutoHahha sisi alikuwa anatufata anatuambia acheni kuangalia mashetani hayo [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wananiboaga kishenz hasa sista angu alikuwa analazimisha nimsalimie mume wake
Mbona siku hizi hawaitikii !!!..Ukiutana na mtu wa makamo lazma useme "shikamoo"
Mie sina huo ushwaini, nachukia sana kumwambia mtu shikamoo ila ndio hivyo kwa wengi unaonekana mshenzi...Ati mbona unisalimii, yani ukiidai hio shkamoo najiskia hata kukutukana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa, na hapo kubadili mboga hadi weekend.Kabisaa ingawa umaskini ulichangia.. kilo ni mboga ya mchana na jioni na familia yenyewe kubwa. Bhasi hapo ni mboga za majani pembeni, mchuzi mwingi nyama mbili
Kipindi ndio wameoana tu, hahah tuliishia kugombana vibaya mno mpaka sasa ananijua mdg wake Nati!🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shemeji yako
Sent using Jamii Forums mobile app