Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Ukibahatika kupata maisha mazuri usisahau ulikotoka, kwenye maisha kuna kupanda na kushuka.
Hakika....wapo wawaonao ndugu zao ambao hawajafanikiwa kama hawana akili na kuekti wanampenda Mungu sana... kumbuka usipompenda ndugu yako unayemuona utampendaje Mungu usiyemuona... mnafiki wewe...kutokumjali ndugu yako ni kumchukia dhahiri....wapo wasiopenda hata kuwasiliana na ndugu zao na akijua una namba yake anabadilisha nyingine.... wanafiki wakubwa
 
Kuna kipindi kilikuwa kinarushawa TBC cha bongo Dar es Salaam kinaonyesha matukio ya wizi ,kinarudi tenah ITV kwanzia wiki hii Jumapili,ukikifatilia vizuri kile kipindi utanielewa vizuri kwann mm nakusihi usiondoke stationary kwa mawazo yangu ...unaweza ukapigwa kote kote ww jiamini Tu Baki ndani ya ofisi kama mfalme
 
Hapana mkuu. Busara ni kukaa nje ya ofisi ya mtu kama mhusika hayupo.
 
Umenena vema sana mkuu
 
Usiulize sana ishu kama ,vp unaolewa lini,unaoa lini,vp una watoto wangapi maana mwingine anatafùta mtoto hapati,maswali haya yanaumiza watu kihisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…