Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Hahahahaa, mkuu kwa hiyo wewe haubakishi hata kidogo?? Unafukia chote au sio??
Kama naweza nafuta chote,Kuna tafsiri mbili hapa moja unampa motisha mpishi kuwa chakula chake kitamu,anajua kupika n.k,ila upande mwingine utaonekana mlafi n.k ww usiogope What doesn't kill you makes you strong kula usibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…