Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Hahahahaa, mkuu kwa hiyo wewe haubakishi hata kidogo?? Unafukia chote au sio??
Kama naweza nafuta chote,Kuna tafsiri mbili hapa moja unampa motisha mpishi kuwa chakula chake kitamu,anajua kupika n.k,ila upande mwingine utaonekana mlafi n.k ww usiogope What doesn't kill you makes you strong kula usibe
 
(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.
1000017367.jpg
 
Back
Top Bottom