Mambo ya Msingi Sana katika maisha

At least unakua umepunguza Risk,kunyonya ni fasta tu...halafu unalalaje kifuani kwa malaya? Hawa ni kainama,umemwinua miguu n.k
Ujue kudomba malaya kifo cha mende kinabei yake na kumchumisha magimbi kuna bei yake mara nyingi nakuwaga na pesa za kifo cha mende tu
 
Namba 8 masuala yasiyokuhusu ni vyema kuachana nayo, masuala ya kumkanya wewe sio mkwe wake achana nao watajuana wenyewe

Namba 11 kuna umuhimu wake ila angalia na mazingira kwanza, mimi naawathamini sana hao watu maana kuna msala mmoja ulinikuta ofisini nikakwama kabisa mpaka kwa boss nako nilifeli wakati nahangaika na mhasibu pale koridoni ni kama alinisikia hivi nachokilalamikia, akanivuta pembeni akasema hiyo issue jaribu sehemu fulani hivi huko ndani ndani, huwezi amini hiyo issue ilikuwa solved na nikafanikisha
 
Wafanya usafi, madereva, wapiga chai pamoja na wale wenye mishahara midogo maofisi, ni watu muhimu sana mkuu wangu.
 
Good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…