Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Hakuna kitu kama hicho watu wanaodhulumu Kila siku na hakuna ktu kinawapata tena ndio matajiri makubwa kwenye miji mikubwa
Karma is real my dear sister. Hao matajiri wa dhuluma wanapitia mateso ya kimya kimya ambayo kamwe hawawezi kukwambia. Dhuluma humnyima mtu "peace of mind"

Kuna tajiri mmoja wa dhuluma yupo around 69 anaweweseka. Anasema anaona watu wanamfuata kila anapoenda, but in reality hakuna watu hao ila ni mawenge tu.
 
Hiyo namba 8 usije ukaifanyia kazi hata siku moja. Wewe ukigundua usaliti wa hao watu kaa kimya maana anajua achofanya na muda ukifika atakanywa na wanaohusika.

Hakuna mzigo mzito kama kuijua siri ya mtu, kwenye haya maisha epuka sana kujua siri za watu.
 
Ukiwa na PESA hayo yote ni NULL & VOID
eti Bakhressa akikaa sebuleni kwako akigusa mdoli heshima yake itashuka maishani😀😀😀
Unachukua vp kitu cha mtu bila ruhusa yake, tena wakati hayupo na wewe hapo sebuleni?? Huo ni ustaarabu tu wa kawaida. Mwenye pesa msomi anakuwaga mstaarabu sana tofauti na wale wa pesa za P Diddy.
 
Chukua Tano kwanza 🤜🏾🔥🤛🏾

1.Jifunze kuwasikiliza watu mpaka wamalize kuongea ndipo ujibu, usidakie dakie au kung'ang'ana uwe muongeaji mkuu, Sikiliza zaidi ya kuongea.

2.Ukipakuliwa chakula ugenini bakiza kidogo kuonyesha umeshiba hadi ukashindwa kumaliza.

Ila ukijipakulia hakikisha unamaliza.

3.Uwe mtu wa maneno yako, ukiahidi tekeleza, ukisema nafika saa2 fika saa2.

4.Ukikosea kubali, usikimbilie kujitetea tetea, ahidi kubadilika, inaonyesha unekomaa kihisia.

5.Usiwe mtu mwema kwa kila mtu bali kuwa mtu mzuri kwa watu sahihi.

6.Hata uwe na maarifa makubwa vipi na ujuzi vipi usijisifie, viongee vitendo.

7.Mshkaji wako akinunua soda mgawane ongezea na karanga za kushushia.

I'm Out.
No 2,Nakukatalia ukipakuliwa na unaweza kumaliza maliza ,Maneno ya watu yasikupangie juu ya Afya yako
 
Karma is real my dear sister. Hao matajiri wa dhuluma wanapitia mateso ya kimya kimya ambayo kamwe hawawezi kukwambia. Dhuluma humnyima mtu "peace of mind"

Kuna tajiri mmoja wa dhuluma yupo around 69 anaweweseka. Anasema anaona watu wanamfuata kila anapoenda, but in reality hakuna watu hao ila ni mawenge tu.
Rekebisha hapo kweny my sister hi I'd ni me mzee

Mfano hii kesi ya dada wa msuya si unaona yule mwanamama katoka yupo fresh tu na anakula maisha
 
Rekebisha hapo kweny my sister hi I'd ni me mzee

Mfano hii kesi ya dada wa msuya si unaona yule mwanamama katoka yupo fresh tu na anakula maisha
Yule dada inawezekana sio mhusika. Inawezekana kuna watu walifanya vile ili yeye aonekane ndio kafanya.

Mkuu, vp kama Babu seya angepigwq risasi punde baada ya Magufuli kumuachia. Hauoni kama watu wangesema kuwa "CCM wamemtoa ili wamuue" kumbe ni wabaya wa Magufuli na CCM ndio waliofanya vile ile kuweza kuwachafua.
 
Back
Top Bottom