Sasa tukisema ukweli mwanamke anakukataa unamkosaPesa ya kujionesha itakupa mpenzi/mke na rafiki wa uongo. Pesa ikiisha hao wote watakukimbia. Trust me. I once went through all that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tukisema ukweli mwanamke anakukataa unamkosaPesa ya kujionesha itakupa mpenzi/mke na rafiki wa uongo. Pesa ikiisha hao wote watakukimbia. Trust me. I once went through all that.
Karma is real my dear sister. Hao matajiri wa dhuluma wanapitia mateso ya kimya kimya ambayo kamwe hawawezi kukwambia. Dhuluma humnyima mtu "peace of mind"Hakuna kitu kama hicho watu wanaodhulumu Kila siku na hakuna ktu kinawapata tena ndio matajiri makubwa kwenye miji mikubwa
Huyo sio mwanamke wako. She wasn't meant for you. Money can just give you hoes (majembe) na sio mwanamke wife material.Sasa tukisema ukweli mwanamke anakukataa unamkosa
Unachukua vp kitu cha mtu bila ruhusa yake, tena wakati hayupo na wewe hapo sebuleni?? Huo ni ustaarabu tu wa kawaida. Mwenye pesa msomi anakuwaga mstaarabu sana tofauti na wale wa pesa za P Diddy.Ukiwa na PESA hayo yote ni NULL & VOID
eti Bakhressa akikaa sebuleni kwako akigusa mdoli heshima yake itashuka maishani😀😀😀
#11 pia imeshiba sanaZingatieni sana #5
Sawa mkuu..Hiyo namba 8 usije ukaifanyia kazi hata siku moja. Wewe ukigundua usaliti wa hao watu kaa kimya maana anajua achofanya na muda ukifika atakanywa na wanaohusika.
Hakuna mzigo mzito kama kuijua siri ya mtu, kwenye haya maisha epuka sana kujua siri za watu.
Poa mkuu..#11 pia imeshiba sana
Asante sana mkuu.A 5 star thread.
Meaning: Persistence will achieve a difficult or unlikely objective.CONSTANT DRIPPING HOLLOWS THE STONE
No 2,Nakukatalia ukipakuliwa na unaweza kumaliza maliza ,Maneno ya watu yasikupangie juu ya Afya yakoChukua Tano kwanza 🤜🏾🔥🤛🏾
1.Jifunze kuwasikiliza watu mpaka wamalize kuongea ndipo ujibu, usidakie dakie au kung'ang'ana uwe muongeaji mkuu, Sikiliza zaidi ya kuongea.
2.Ukipakuliwa chakula ugenini bakiza kidogo kuonyesha umeshiba hadi ukashindwa kumaliza.
Ila ukijipakulia hakikisha unamaliza.
3.Uwe mtu wa maneno yako, ukiahidi tekeleza, ukisema nafika saa2 fika saa2.
4.Ukikosea kubali, usikimbilie kujitetea tetea, ahidi kubadilika, inaonyesha unekomaa kihisia.
5.Usiwe mtu mwema kwa kila mtu bali kuwa mtu mzuri kwa watu sahihi.
6.Hata uwe na maarifa makubwa vipi na ujuzi vipi usijisifie, viongee vitendo.
7.Mshkaji wako akinunua soda mgawane ongezea na karanga za kushushia.
I'm Out.
Sahihi, Yote ni maamuzi ya mtu binafsi, Tumetofautiana.No 2,Nakukagalia ukipakuliwa na unaweza kumaliza maliza ,Maneno ya watu yasikupangie juu ya Afya yako
Rekebisha hapo kweny my sister hi I'd ni me mzeeKarma is real my dear sister. Hao matajiri wa dhuluma wanapitia mateso ya kimya kimya ambayo kamwe hawawezi kukwambia. Dhuluma humnyima mtu "peace of mind"
Kuna tajiri mmoja wa dhuluma yupo around 69 anaweweseka. Anasema anaona watu wanamfuata kila anapoenda, but in reality hakuna watu hao ila ni mawenge tu.
Hahahahaa, mkuu kwa hiyo wewe haubakishi hata kidogo?? Unafukia chote au sio??No 2,Nakukagalia ukipakuliwa na unaweza kumaliza maliza ,Maneno ya watu yasikupangie juu ya Afya yako
Yule dada inawezekana sio mhusika. Inawezekana kuna watu walifanya vile ili yeye aonekane ndio kafanya.Rekebisha hapo kweny my sister hi I'd ni me mzee
Mfano hii kesi ya dada wa msuya si unaona yule mwanamama katoka yupo fresh tu na anakula maisha
How can someone smell this?? Those in your circle are the ones who are supposed to make sure this nonesense doesn't happen at all.Jihadhari na watu wanaokuzunguka wasikuzunguke,
....and this is what we call "True friendship"usiwazunguke wanaokuzunguka.