Hahahaha hiyo imewahi kuwatokea wengi tu alafu unatembea kwa kujiamini kuna sku rafk yangu alinipitia saa 10 kufika shulen tunakutana na mabundi darasan ikabid tukakae mlangoni kwa Mwalimumimi tulikuwa tunashindana kuwahi shule ya msingi na rafiki yangu siku moja nikawahi kulala saa moja nikashtuka baadae kidogo kwa kuwa nilikuwa nishavaa sale ya shule kabisa nikavaa viatu huyo nikawaacha hom wamelala mi nikasepa,
ashukuliwe yule mlevi aliyeniludisha mpaka nyumbani,ilikuwa saa tano usiku ye ndo katoka bar.
Ili aweze kutekeleza majukumu yake vizuri. Wazee zamani walikuwa na hekima mambo ya kuijaza duniaDingi anapewa pande kubwa la samaki, madogo mnapewa tupande tudogo tudogo [emoji19][emoji19][emoji19]
Hahaha Kama nakuonaaa vileeeKula wali nyama
sema school hakusomekagi ukiwahi namba ticha wa zamu hapigi wachelewaji sasa we chelewa utapenda.Hahahaha hiyo imewahi kuwatokea wengi tu alafu unatembea kwa kujiamini kuna sku rafk yangu alinipitia saa 10 kufika shulen tunakutana na mabundi darasan ikabid tukakae mlangoni kwa Mwalimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niletee kitunguuu-- unaleta
niletee nyanya-- unaleta
niletee kisu-- unaleta
niletee maji-- unaleta
hujakaa sawa
niletee mwiko-- unaleta
hujapumzika unasikia
hebu niletee chumvi
hadi hicho chakula kiive umeshatembea zaidi ya km 10 kufata vitu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Kasage mahindi ndo ukacheze" ukirudi unatumwa kingine mpk giza linaingia
African moms[emoji23][emoji23][emoji23]tunawapenda tu hivo hivo...Why are all mothers like this tho..
Dada wa kazi alinitesa sana kuhusu kulala mchana natandka mito naenda kucheza anakuja kunifata mbinu zote alikuwa anazijua hahaha da Happy popote ulipo nakusalimia ulinitesa sana mshenz wwmimi kulala mchana...nilikua sipendi na ilikua hamna kwenda kucheza hadi ulale mchana...basi nkifika room najilizaaaa hadi macho yawe mekundu af nachukua kitana nafunga kune paji la uso hadi alama itokee eti ndo mistari mistari ile ukitoka kuamka[emoji1]...af nakaa kidogo nasepa zangu kucheza...
[emoji23][emoji23][emoji23]Dada wa kazi alinitesa sana kuhusu kulala mchana natandka mito naenda kucheza anakuja kunifata mbinu zote alikuwa anazijua hahaha da Happy popote ulipo nakusalimia ulinitesa sana mshenz ww
kuna siku niliona wanapika ugali na nyanya chungu nikasema nimeshiba ule mda wapo wanakula nikapita sebleni nikakuta tobaa!kumbe mzee aliludi na nyama choma,machozi yakaanza kutoka nikaulizwa nini nikasema kichwa kinauma nilipelekwa mpaka dispensar kuchomwa sindano za bure,nyama hajawai niacha salamamimi kulala mchana...nilikua sipendi na ilikua hamna kwenda kucheza hadi ulale mchana...basi nkifika room najilizaaaa hadi macho yawe mekundu af nachukua kitana nafunga kune paji la uso hadi alama itokee eti ndo mistari mistari ile ukitoka kuamka[emoji1]...af nakaa kidogo nasepa zangu kucheza...
ukitoka bafuni chini ya dakika 30,nakwambia utaoga hata mara 10 wanasemaga hujaoga umenawa mbona umewa sana kutokaIshu za dingi mida kula mezani ndo unasikia ,,,,UMESHAOGA? Ukisema bado aya kaoge pumbavu
Hahahahaha tabia alikuwa nayo mjomba miaka hiyo ya 68 72Wale wakubwa kunilaghai niwape muhindi wangu eti wanianzishie njia ya kwenda kwa bibi!