ha haaaa, sipati picha....
kwa hiyo baba akifika straight chumbani?
kama anakaa sebuleni hg atamkimbiaje? akae jikoni tu?
na akitaka kufanya kazi ambazo itabidi apite kwa sebule!:A S 39:
Kama hizi comment zako zinafanana na maisha unayoishi.Then you are unique
aache kazi awe mama wa nyumbani ili asikae na hg...... kumlinda mume, lol!Yani nakwambia huyu mama ni full wasiwasi hajawahi kukaa na hg miezi sita...anafukuza kwenda mbele; na ana bahati ya kuwapata bila shida.
Duh! afadhali umemuulizia mdogo wake @FP.Nilifikiri unataka kumchukua yeye.Huyu kweli ni mke mwema je una mdogo wako FP?
ha haaaa, thanx......Huyu kweli ni mke mwema je una mdogo wako FP?
ha ha haaaa, hawezi kuniulizia mimi anajua mamisimamo yangu, lol!Duh! afadhali umemuulizia mdogo wake @FP.Nilifikiri unataka kumchukua yeye.
ha haaa, hii nayo kali...Yaani baba akifika hg anatakiwa kutopenya angle yoyote aliyo keti baba kama yupo chumbani anapaswa kusubiri mpaka atoke sebureni vinginevyo anakatwa mshahara
Akikuchukua wewe, haupiti mwezi ataanza kutuomba ushauri humu JF.ha ha haaaa, hawezi kuniulizia mimi anajua mamisimamo yangu, lol!
Namchukia mwanaume aneyeoa akidhani kuwa amepata mtumwa katika maisha yake. Ndoa ni zaidi ya kupelekewa maji, kufuliwa nguo za ndanikutengewa chakula.Mkiwa na mapenzi ya kweli hivi vyote vinafanyika bila kuhesabiwa na mambo yote yanakwena. Ukiona mme anaanza kudai huduma ndogondogo kama hizo ujue mapenzi yamekwisha yamebaki mazoea.mume anashindwa kujifulia nguo zake za ndani mpaka beki 3 amfulie?mke akisafiri au akiwa anaumwa ndo ampe beki 3?siyo lazima mimi nimfulie mume nguo zake za ndani.... kwamba mwenyewe hawezi?kabla hajaoa alikuwa anavaa chafu au alikuwa anafuliwa na mama/dadake?kama alikuwa anajifulia sasa anashindwa nini kufua akiwa ameoa?nitamfulia kimapenzi tu, naye pia anaweza kunifulia maana hata mimi hayo mapenzi nayataka
ha haaa, hii nayo kali...
kwa hiyo huyo mama huwa hasafiri peke yake na kumwacha mume home na hg?
au haendagi kwenye vikundi vya wamama/kitchen party, n.k?
moto utakuwa unamuwakia?Akikuchukua wewe, haupiti mwezi ataanza kutuomba ushauri humu JF.
Namchukia mwanaume aneyeoa akidhani kuwa amepata mtumwa katika maisha yake. Ndoa ni zaidi ya kupelekewa maji, kufuliwa nguo za ndanikutengewa chakula.Mkiwa na mapenzi ya kweli hivi vyote vinafanyika bila kuhesabiwa na mambo yote yanakwena. Ukiona mme anaanza kudai huduma ndogondogo kama hizo ujue mapenzi yamekwisha yamebaki mazoea.
huo sasa ni utumwa....Kwa hapo sijui siwezi nikamsemea ila ana mabinti wakubwa anaishi nao, abiria chunga mzigo wako ndivyo anavyo ishi huyu mama
huo sasa ni utumwa....
unajifanya mtumwa bila kujijua
yaani niache kufanya kazi zangu freely sababu ya mume?
huyo mume ni baba wa nyumbani?
huko nje anafikiri hawezi kuchukuliwa? au allergy ya huyo mama ni kwa hg tu?
Duh! afadhali umemuulizia mdogo wake @FP.Nilifikiri unataka kumchukua yeye.
Hivi usipo kuwa makini vinaweza kukusababishia magonjwa ya kujitakia
uchoyo kwa hg?Unakuja pale pale mwanamke akiwa na vielement vya uchoyo ndivyo anavyo kuwa
usijali, utampata wa kufanana na sisi......Yeye najua walimwengu walishawahi naona kwenye comment chini kasema hata mdogo wake alishaolewa kumbe hakuna hata wa mbegu lol basi tena!.
Ukoo mkubwa huo.endelea kuulizia ndugu zake wengine watakuwepo.Yeye najua walimwengu walishawahi naona kwenye comment chini kasema hata mdogo wake alishaolewa kumbe hakuna hata wa mbegu lol basi tena!.