Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
ha haaaa, sipati picha....
kwa hiyo baba akifika straight chumbani?
kama anakaa sebuleni hg atamkimbiaje? akae jikoni tu?
na akitaka kufanya kazi ambazo itabidi apite kwa sebule!:A S 39:
Yaani baba akifika hg anatakiwa kutopenya angle yoyote aliyo keti baba kama yupo chumbani anapaswa kusubiri mpaka atoke sebureni vinginevyo anakatwa mshahara