Mambo yanayosababisha wanaume tuliooa tuwachoke haraka wake zetu

Hii kama ni ngumi basi utakuwa umepiga kwenye pua....
 
Hakuna Dini inayokataza mitara haupo!hata Biblia haijakataza mitara hata WAKATI yesu mitara ilikuwepo na Hata nyakati za Paulo Mtume mitara ilikuwepo Ndio màana alisisitiza kuwa mtu akitaka kuwa Askofu au shemasi awe mume wa mke mmoja coz walikwepo wenye mke zaidi ya MMOJA!!achana na siasa za kimadhehebu hasa ukatoliki na protestant!!!we oa tu!!!hata Taifa la Israel limetokana na wake wanne wa yakobo na hakuna andiko linaloweka utaratibu wa kuoa UWE mke MMOJA!!!Adam na Hawa hawakufunga ndoa wala kuoana zaidi ya kuzaliana tu Ndio màana hata watoto wao walizaliana WAO kwa WAO! usije danganywa eti Mungu alifungisha NDOA !!!walikuwa wanazaliana waanzilishi wa kizazi chetu!na Mungu aliumba KILA kiumbe WAWILI WAWILI Ili kukuza kizazi cha viumbe!!!
Dini hairuhu
 
Nasisi tunavumilia jamani msituonee tu....mnanuka mbupu hatareee

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wajameni sasa kitu pumbu kiko juu kwaju!! kinaenda huku na kule hewani muda wooote kile kitanukaje? km ikinuka ina maana imeoza!! na hapo hana maisha huyo atakufa tu faster!.....

labda kidoogo useme fungus hasa maeneo ya joto!! lkn akiwa ivo atajikuna mpaka akome! ! pia hizo hazinukagi!! kwa sababu anapokuna fungus anajichubua sasa nionee vidonda vyake hata hawezi kutembea kazini haendi

Tembea uone mwenzangu! huyo wako mwenzangu anatisha Khaaa!!...ebu tupe uzoefu kwanza tukusaidie shoga ilikuwaje hizo ndude??
 
Rais gani hujui kuandika!! tamka mie ndo Rais
 
Mke wangu anajitahidi sana, siwezi kumsema vibaya.Lkn ninachokiona kwa wake wa ndugu zangu na rafiki zangu baadhi Inasikitisha sana,ndio maana nikaamua kuweka hapa.
Usijidanganye na mkeo wanamuona ivoivo ila kwa kuwa umeshalishwa visivyo liwa hujui!
 
Sasa Demu mnene kama yule Welu Sengo(sorry kama nimemis jina lake) wa Nini Yule, Manzi Mnene kama Ng'ombe aina ya Bull
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule wa kwenye Pazia sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwakweli ile ni aina ya Bully.
 
Tamthilia lenyewe lakitoto toto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kingereza Kingi Kwake
.
Hapanaaaaa
Nooooooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…