MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Ukiangalia Kwa jicho la tatu, hiyo kitu uliyodokeza, inawezekana sana..........,.

Ukizingatia maneno ambayo yaliwahi tamkwa almost 2 years back na JK, kuwa mgombea wetu Kwa 2025, unless mambo yaharibike sana!

Najiuliza ni kwanini JK aliyatamka hayo, hasa ukizingatia na hali inayoendelea sasa??
 
Jakaya alisema serikali ya Tanzania kamwe hsitowahamisha wamasai kutoka ngorongoro kwa nguvu.

JPM yeye akaendeleza kutoa huduma za maendeleo kwa wananchi wa huko.

Kaja huyu mama yeye anajiona ana maono kuliko wote waliopita anataka kuwaswaga wamasai kama ng'ombe na kuwafukuzilia mbali bila kuwalipa fidia stahiki. Hii haikubaliki.
Wamehongwa nyumba pale Msomera. Hii ngozi yetu chakavu haikubaliki kuchangamana na na ile rangi tukufu/takatifu
 
Back
Top Bottom