Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Dah!Umenikumbusha mbali sana tulivyokua tunamkimbiza kindumbwendumbwe rafiki yangu mmoja alikua kikojozi sugu.Siku hizi ni bonge la giant,mbabe na ana mchele mfukoni kama wote.Endelea kuota ndoto za mchana angalia usije ukakojoa kwenye kochi hapo sebuleni kwa shemeji.
Pesa hupofusha macho.Halafu maskini ya Mungu hata hajui.
Ukiangalia Kwa jicho la tatu, hiyo kitu uliyodokeza, inawezekana sana..........,.Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Tuwasaidie ndugu zetuWatanzania tusimame pamoja na hawa Wamasai dhidi ya uharamia huu wa kikatili,
Nzuri kwa wajumbe???Hii ni dalili mbaya kwa mwenyekiti
Juzi Zanzibar airline wamenunua Dreamliner mpyaaa 220million USD, Kwa pesa zao za ndani🤣Wanamdanganya I think...... naogopa japo nafurahi
Hao sio papaiurojo kama wewe .....Watapigwa hao mpaka wakimbilie kwa ndugu zao Kenya huko
Na Tanganyika wanasapoti budget Yao kwa asilimia kubwa tuJuzi Zanzibar airline wamenunua Dreamliner mpyaaa 220million USD, Kwa pesa zao za ndani🤣
Wamehongwa nyumba pale Msomera. Hii ngozi yetu chakavu haikubaliki kuchangamana na na ile rangi tukufu/takatifuJakaya alisema serikali ya Tanzania kamwe hsitowahamisha wamasai kutoka ngorongoro kwa nguvu.
JPM yeye akaendeleza kutoa huduma za maendeleo kwa wananchi wa huko.
Kaja huyu mama yeye anajiona ana maono kuliko wote waliopita anataka kuwaswaga wamasai kama ng'ombe na kuwafukuzilia mbali bila kuwalipa fidia stahiki. Hii haikubaliki.
HAKUNA HATA CHEMBE YA SHAKA, MASAI MUST MOVE, WAMEZALIANA SANA NI HATARI KWA HIFADHI, INFACTS SEREKALI ILICHELEWA SANA KUFANYA ZOEZI HILI ILIPASWA LIFANYIKE MIAKA YA 1980.Hii ni dalili mbaya kwa mwenyekiti
Ni vile tu wewe ni Mpemba. Ungekuwa ni Mtanganyika usingeyasema hayaHAKUNA HATA CHEMBE YA SHAKA, MASAI MUST MOVE, WAMEZALIANA SANA NI HATARI KWA HIFADHI, INFACTS SEREKALI ILICHELEWA SANA KUFANYA ZOEZI HILI ILIPASWA LIFANYIKE MIAKA YA 1980.
Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Tatizo lako John ni ukinyonga; basi!Niliwahi kusema wale vijana wa CCM hawapigi kampeni za 2030
Wanautaka sasa, now and only nowNiliwahi kusema wale vijana wa CCM hawapigi kampeni za 2030
kweli! wana mpango kumuangusha samiaNasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Nyekiti kama nyekiti safari yake imeishia hapoHii ni dalili mbaya kwa mwenyekiti