Unapomtoa mzawa kwenye makazi yake ya asili ukachimba madini au ukamuweka mwarabu hapo conservation ya eneo inakuwa imefanywaje?HAKUNA HATA CHEMBE YA SHAKA, MASAI MUST MOVE, WAMEZALIANA SANA NI HATARI KWA HIFADHI, INFACTS SEREKALI ILICHELEWA SANA KUFANYA ZOEZI HILI ILIPASWA LIFANYIKE MIAKA YA 1980.
Kama ishu ni uhifadhi warabu wote wanaohodhi maeneo huko hifadhini watoke maana sio maeneo ya makazi. Kama wamasai wanatakiwa kuwa evacuated na warabu wafanyiwe same treatment. Hatuitaji mtu huko ngorongoro strictly wanyama tu.KWA UJINGA NA UPUMBAVU UNAOENDELEA HUKO NGORONGORO NA KWA JINSI WASHENZI WACHACHE WANAOWACHOCHEA MASAI KUFANYA MIGOMO YA KIPUMBAVU, NA KWA JINSI MASAI WALIVYOZALIANA KWA WINGI NGORONGORO MPAKA KUTISHIA HIFADHI, SASA NI WAKATI WA KWA HEKIMA ZETU KUCHAGUA JE TUNAHITAJI EXISTENCE YA NGORONGORO KWA MIAKA YA BAADAE AU HAKUNA HAJA YA HILO?, TUNATAKA NGORONGORO IGEUKE JIJI?, SASA SIJUI TUNATAKA NINI TUSIPOYADHITI HAYA KATIKA WAKATI HUU
Tahadhari, :-
MAMBO MUHIMU YA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA MBUGA ZETU ZILIZOPO KWENYE MIPANGO YA UHIFADHI NA URITHI WA DUNIA, TUSIGEUZE KUWA MASUALA YA KISIASA, UHIFADHI HAINA UDUGU NA SIASA! TUELEWE HILI.
Mimi mwenyewe kuna jambo linanitatiza.Wamaasai wamekua hapo miaka nenda rudi kwanini wawahamishe sasa hivi!??Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Kwahiyo kazi ya jeshi ni kuua raia wake kwa mabomu?Unajua bomu moja linaua watu wangapi?
Tutulie tu bhana...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hoja
Miaka yote haikukatwa hiyo miti ije ikatwe sasa hivi!?Waondoke tu. Mi nikitembelea Mwanza na Shinyanga jinsi miti ilivyokatwa na kuharibu mazingira, waondoke tu
Amri halali ya serikali ikiwa ya kukandamiza haki za raia itapingwa tu.Ukikaidi amri halali ya serikali utapigwa tu.
Hili ndilo limefanya taifa zima kuwa na mazuzu. Sijui kwanini Nyerere alituwekea mfumo wa kuabudu CCM na kuifanya kama ndio alfa na omega.Samia akisema Ngorongoro ipewe Mwarabu nani anayeipenda kazi yake anaweza kusema vinginevyo?
Serikali imetoaWananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Serikali imewapa maeneno wanataka nini tena waende Tanga kuna ardhi nzuri yenye rutuba na ekari 2 hadi 3 wanapewa na kiasi cha 10 milion kwa nn wana ng'angania huko kwenye ziki na wanaliwa na wanyama poriWananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
😂😂😂😂😂Bro unazingua aisee.Kwani mna la kufanya?
NB;Hivi,nikitaka waniuzie yule kobe mkubwa kama guta wa kule Zanzibar,nafuata hatua zipi?
Nani yupo nyuma ya mpango huu muovu wa kujichafua nchi yetu kama sio chadema kwa nn mnatumika kwa shilingi ardhi lile wamasai waache ecosystem haipo balance kesho kutwa mbuga zetu zitakuwaje mnawaza haya?Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Punda aliyezoea kufungwa kamba hata siku kamba ikiondolewa bado hubaki pale pale akidhani bado amefungwa. Watanzania wengi wanafikiri bila ccm hakutakuwa na serikali Ujinga mkubwa mno huu!Hili ndilo limefanya taifa zima kuwa na mazuzu. Sijui kwanini Nyerere alituwekea mfumo wa kuabudu CCM na kuifanya kama ndio alfa na omega.
Mavi yamembana huyo achana naye.Unapomtoa mzawa kwenye makazi yake ya asili ukachimba madini au ukamuweka mwarabu hapo conservation ya eneo inakuwa imefanywaje?
Bendera nzuri lakin mbona hujaweka rangi ya kuashiria maji ya bahari na maziwa?Naililia nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
Katiba ni KijitabuNasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Ndio kitakachomponzaK
Katiba ni Kijitabu
Narudia kusema tusipopiga kelele land alienation iliyotokea Africa kusini na Zimbabwe itajirudia TenaWananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Wahuni wamejipanga vyema ??!Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Kabisa !She has to outsmart the system,Jamaa wanamtengenezea ajali.