MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

KWA UJINGA NA UPUMBAVU UNAOENDELEA HUKO NGORONGORO NA KWA JINSI WASHENZI WACHACHE WANAOWACHOCHEA MASAI KUFANYA MIGOMO YA KIPUMBAVU, NA KWA JINSI MASAI WALIVYOZALIANA KWA WINGI NGORONGORO MPAKA KUTISHIA HIFADHI, SASA NI WAKATI WA KWA HEKIMA ZETU KUCHAGUA JE TUNAHITAJI EXISTENCE YA NGORONGORO KWA MIAKA YA BAADAE AU HAKUNA HAJA YA HILO?, TUNATAKA NGORONGORO IGEUKE JIJI?, SASA SIJUI TUNATAKA NINI TUSIPOYADHITI HAYA KATIKA WAKATI HUU

Tahadhari, :-

MAMBO MUHIMU YA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA MBUGA ZETU ZILIZOPO KWENYE MIPANGO YA UHIFADHI NA URITHI WA DUNIA, TUSIGEUZE KUWA MASUALA YA KISIASA, UHIFADHI HAINA UDUGU NA SIASA! TUELEWE HILI.
Kama ishu ni uhifadhi warabu wote wanaohodhi maeneo huko hifadhini watoke maana sio maeneo ya makazi. Kama wamasai wanatakiwa kuwa evacuated na warabu wafanyiwe same treatment. Hatuitaji mtu huko ngorongoro strictly wanyama tu.
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Mimi mwenyewe kuna jambo linanitatiza.Wamaasai wamekua hapo miaka nenda rudi kwanini wawahamishe sasa hivi!??
Sababu kuu ya kuwahamisha nini ilhali hakuna uharibifu waliouonesha mbugani!?
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Serikali imetoa
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Serikali imewapa maeneno wanataka nini tena waende Tanga kuna ardhi nzuri yenye rutuba na ekari 2 hadi 3 wanapewa na kiasi cha 10 milion kwa nn wana ng'angania huko kwenye ziki na wanaliwa na wanyama pori
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Nani yupo nyuma ya mpango huu muovu wa kujichafua nchi yetu kama sio chadema kwa nn mnatumika kwa shilingi ardhi lile wamasai waache ecosystem haipo balance kesho kutwa mbuga zetu zitakuwaje mnawaza haya?
 
Hili ndilo limefanya taifa zima kuwa na mazuzu. Sijui kwanini Nyerere alituwekea mfumo wa kuabudu CCM na kuifanya kama ndio alfa na omega.
Punda aliyezoea kufungwa kamba hata siku kamba ikiondolewa bado hubaki pale pale akidhani bado amefungwa. Watanzania wengi wanafikiri bila ccm hakutakuwa na serikali Ujinga mkubwa mno huu!
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Narudia kusema tusipopiga kelele land alienation iliyotokea Africa kusini na Zimbabwe itajirudia Tena
 
Back
Top Bottom