MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Mama anaupiga mwingi hadi raha au unasemaje Lucas Mwashambwa ?
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Tuacheni kwanza huku Kizimkazi kumenoga hayo ya huko yasubiri tudemke kwanza huku,sawa sawa ????
 
Jakaya alisema serikali ya Tanzania kamwe hsitowahamisha wamasai kutoka ngorongoro kwa nguvu.

JPM yeye akaendeleza kutoa huduma za maendeleo kwa wananchi wa huko.

Kaja huyu mama yeye anajiona ana maono kuliko wote waliopita anataka kuwaswaga wamasai kama ng'ombe na kuwafukuzilia mbali bila kuwalipa fidia stahiki. Hii haikubaliki.
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Waarabu wamekwisha mmaliza huyo Bi Kidude, wala hasikii
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Waondoke tu. Mi nikitembelea Mwanza na Shinyanga jinsi miti ilivyokatwa na kuharibu mazingira, waondoke tu
 
Jakaya alisema serikali ya Tanzania kamwe hsitowahamisha wamasai kutoka ngorongoro kwa nguvu.

JPM yeye akaendeleza kutoa huduma za maendeleo kwa wananchi wa huko

Kaja huyu mama yeye anajiona ana maono kuliko wote waliopita
Naililia nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
 

Attachments

  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 2
Huyu atajibu wamassai wa Ngorongoro wamebubujikwa na machozi ya furaha baada ya wilaya yao kufutwa.
As of 2018, Tanzania had 28,000 people in its armed forces, which is a slight decrease from 35,400 in 2000. In 2020, the military size remained at 28,000. The Tanzania People's Defence Force (TPDF) has an army of 42,000 and an air force of 800. Tanzania is involved in peacekeeping operations on the continent and has a strong record of democracy and stability.

My take: Hivi Makabila yote na Mikoa yote ikija juu patakalika: Population: 60,000,0000
 
Back
Top Bottom