Waulizane na Wale Waliopiga Masasi Tundu LissuMambo yanazidi kunoga.
Na asipokua makini watambebesha na huo msalaba kwa maana yeye ndo alikua RPC kipindi hichoWaulizane na Wale Waliopiga Masasi Tundu Lissu
Nayeye Amwage Mboga...ndio uje Albadiri huchukua hata Ten yearsNa asipokua makini watambebesha na huo msalaba kwa maana yeye ndo alikua RPC kipindi hicho
kuanzia baba mwenye nyumba wote wanafiki tu wanajuanaSiku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.
Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.
Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".
“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.
Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."
huwezi ukawa kiongozi bora kwa kujijenga wewe kupitia kuharibu wenzako huku ukijua kabisa mchezo mzima!!nani hajui kuwa jiwe ripoti nzima ya tukio hilo analo?kwanini aseme vile?one man show
hili ni jiwe la udongoHawa wanatuchezea akili, bado Wanaendelea kutuona sisi wajinga. Hii movie yenu mliicheza kishamba sana na huyo Jiwe wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe anajua wahusika sema anataka mtoa mtuhuwezi ukawa kiongozi bora kwa kujijenga wewe kupitia kuharibu wenzako huku ukijua kabisa mchezo mzima!!nani hajui kuwa jiwe ripoti nzima ya tukio hilo analo?kwanini aseme vile?one man show
Mmmmh anamjibu amiri jeshi mkuu? Haya sawaSiku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.
Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.
Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".
“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.
Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."