Mambosasa ajibu maswali ya Rais Magufuli kuhusu kutekwa Mo Dewji

Mambosasa ajibu maswali ya Rais Magufuli kuhusu kutekwa Mo Dewji

TUMBUA MAMBOSASA, HANA NIDHAMU, anawezaje kumjibu mkuu wa nchi hadharani hivyo halafu kihuni.. Protoka ilimtaka aende kwa bosi wake Sirro akamwambie alipoishia halafu akae kimya, TUMBUA MAMBOSASA HANA NIDHAMU..
 
Kiofisi ni vizuri boss au junior kuwasiliana kiofisi kulikoni kujibizana au kutuhumiana hadharani .Naona kuna kuna kitu haliko sawa.Public sio ofisi.Mafaili yapo boss aandike junior ajibu.Haya mambo ya kuanikana hadharani na kujibizana hadharani kati ya mabosi na ma subordinate wao ni ukosefu wa nidhamu za kiofisi na lazima ukataliwe usiote mizizi . Taratibu za mawasiliano ya kiofisi yaheshimiwe na yatumike kwa wote mabosi na juniors.Kitu haliko sawa uliza kiofisi ujibiwe na junior kama kuna kitu hukioni sawa kiekezee kiofisi.Ndio maana vyuo vyote hufundisha business communication kwa kozi zote za sayansi na Arts ili zitumike zaidi

HALAFU SIKU HIZI SASA MZUNGU KATULETE EMAIL UNAANDIKA TU, TO -----------------------, CC .....................................
HALAFU CHINI UNAMALIZIA NAHITAJI MAJIBU HARAKA AU ASAP.
 
Jiwe anajua wahusika sema anataka mtoa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tatizo badala ya kujenga taasisis wewe una kalia kujijenga binafsi tu huku unawafanya walio chini yako kuwa ndio hawana maana kumbe tatizo ni wewe!!!hilo lilikuwa sio jambo la kulalaimkia mbele za watu wakati kila kitu unacho wewe!!
 
Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.


Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.

Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".

“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.

Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."
 
Kwetu sisi wataalam wa Lugha na itifaki za Kiserikali, kauli ya mambo sasa ni utovu wa nidhamu si tu kwa Mkuu wa nchi Bali kwa Amiri Jeshi Mkuu.

Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe". Hiyo ingekuwa kauli ya Afisa wa Jeshi kwa amiri Jeshi Mkuu.

Otherwise Mambosasa anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki, tusubiri tuone!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli lakini mkuu alianza,

Lazima tujue kuwa tunaowapiga mawe mbele za watu pia ni watu wana hisia kaza zako

Kwa hiyo mkuu ilitakiwa hili suala aulize huko na sio kuanza kumtolea maneno jukwaani

Ni utovu wa nidhamu ila yupo sahihi

Kisichokuua kinakuimarisha

Mambosasa komaa

huwezi ukawa kiongozi bora kwa kujijenga wewe kupitia kuharibu wenzako huku ukijua kabisa mchezo mzima!!nani hajui kuwa jiwe ripoti nzima ya tukio hilo analo?kwanini aseme vile?one man show

Exactly kwamba ukimuua(kumpondea) wewe ndo unaonekana mzuri

Hamna namna kwa sababu alitaka hivyo basi wacha iwe hivyo.

TUMBUA MAMBOSASA, HANA NIDHAMU, anawezaje kumjibu mkuu wa nchi hadharani hivyo halafu kihuni.. Protoka ilimtaka aende kwa bosi wake Sirro akamwambie alipoishia halafu akae kimya, TUMBUA MAMBOSASA HANA NIDHAMU..

Kisichokuua kinakuimarisha

Ilikuwa ni lazima ajibu kama alivyoulizwa

Ulipikia hadharani kwanini ulie kizani.
 
Kwa hiyo rais hayupo informed? By the way kuna mambo ambayo Mambosasa hajaya ongelea ambayo rais aliya lalamikia.
1. Mazingira ya upatikanaji ya mtekwaji
2. Mambosasa kuonekana anakunywa chai na mtekwaji.
Yote unayotarajia Mambosasa ayazungumzie yako kwenye jalada alilokwisha kabidhi kwa DCI. Akithubutu kujibu hoja za rais kama Rais alizitoa atakuwa nakiuka ethics za kiintelegensia. Tusubiri DCI afanye kazi yake!
 
Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.


Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.

Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".

“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.

Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."
Taarifa kama hii nani ataelewa ?

- KumbukiziMTAFUTANO.jpg


Halafu kwanini alikimbia chai ya rangi nyumbani kwake na kuamua kudowea chai ya maziwa kwa mtu aliyetekwa , hata huruma hana ?
 
Kwa muda nilivaa viatu vya rais halafu nikawa nasoma alichonijibu, nikajikuta napandwa na hasira kali, nikachukua simu nimpigie igp ili ampeleke akawe analinda magodown, ndipo nikagundua mimi si rais na hata namba ya igp sina, dah!
 
Sasa Mambosasa anataka kubisha kuwa hakuonekana katika Selfie akinywa chai na MO?? Mkulu alichosema ni kuwa; Iweje Mo aokotwe Gymkana mahali penye ulinzi wa kitaifa kutokana na mazingara ya uanja ulipo, halafu watekaji waache silaha kali pale, na mtu wao (Mtaji mkubwa tu) halafu waondoke wamwache akirandaranda bila tatizo. Halafu ghafla, wewe RPC ounekane ukinywa chai kwake?? Hayo je yapo kwenye jalada lako hilo??
Ndiyo maswali aliyoyauliza Mkulu kwa sababu nina uhakika hakuyaona humo mwenye jalada lako Mambosasa. Usijibizane na mkulu weka hadharani kuwa aende akasome ukurasa fulani atayapata hayo majibu pale.
Naomba nieleweke vizuri; Simdharau mtu yeyote ila natamani nito wazo la kunyoosha mambo haya yasijezidi kuchafuka
 
Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.


Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.

Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".

“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.

Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."
Zirro kashatia jalada kwenye dustbin.
 
JIWE kamwaga mboga , Mambosasa yeye kaamua kumwaga maji ya kusongea ugali , kazi kwelikweli

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Hii nchi Rais mpaka watendaji wake wote wasanii tu ..Yaani anataka kutuaminisha wananchi hatujui chochote ?

Kitendo cha Mambosasa kukaa kimya baada ya uchunguzi wake tu kinatosha kutufumbua macho wenye akili zetu kwamba hii ngoma ngumu hawezi icheza kwa sababu wahusika ndio watengeneza ngoma wenyewe

Alitaka Mambosasa akamkamate nani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiofisi ni vizuri boss au junior kuwasiliana kiofisi kulikoni kujibizana au kutuhumiana hadharani .Naona kuna kitu hakiko sawa.Public sio ofisi.Mafaili yapo boss aandike junior ajibu.Haya mambo ya kuanikana hadharani na kujibizana hadharani kati ya mabosi na ma subordinate wao ni ukosefu wa nidhamu za kiofisi na lazima ukataliwe usiote mizizi . Taratibu za mawasiliano ya kiofisi yaheshimiwe na yatumike kwa wote mabosi na juniors.Kitu haliko sawa uliza kiofisi ujibiwe na junior kama kuna kitu hukioni sawa kiekezee kiofisi.Ndio maana vyuo vyote hufundisha business communication kwa kozi zote za sayansi na Arts ili zitumike zaidi
Chuo kipi hicho kinafundisha "Business communication" ? Kwa masomo ya Arts na Sayansi ?

Hii ni Tanzania unaongelea ama nchi nyingine ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
watatajana tu...mdogo mdogo tutafika..

Hongera mambosasa, kumbe mpira haupo kwako ushatoa pasi kitambo.
 
Hakiko sawa kwa boss au kwa junior? Maana wote wameongolea hadharani.
Kiofisi ni vizuri boss au junior kuwasiliana kiofisi kulikoni kujibizana au kutuhumiana hadharani .Naona kuna kitu hakiko sawa.Public sio ofisi.Mafaili yapo boss aandike junior ajibu.Haya mambo ya kuanikana hadharani na kujibizana hadharani kati ya mabosi na ma subordinate wao ni ukosefu wa nidhamu za kiofisi na lazima ukataliwe usiote mizizi . Taratibu za mawasiliano ya kiofisi yaheshimiwe na yatumike kwa wote mabosi na juniors.Kitu haliko sawa uliza kiofisi ujibiwe na junior kama kuna kitu hukioni sawa kiekezee kiofisi.Ndio maana vyuo vyote hufundisha business communication kwa kozi zote za sayansi na Arts ili zitumike zaidi

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
no wajibu wa baba kulalamika kwa mama.usijibizane na baba yako.
 
Utaalamu wa Lugha na itifaki Kwa mambo ya kiusalama ungeanzia juu kwenda chini.
Swali limeulizwa hadharani na yeye ameamua kujibu hadharani.Wewe ulitaka lisiulizwe au kujibiwa hadharani kama ilivyofanyika?
Kwetu sisi wataalam wa Lugha na itifaki za Kiserikali, kauli ya mambo sasa ni utovu wa nidhamu si tu kwa Mkuu wa nchi Bali kwa Amiri Jeshi Mkuu.

Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe". Hiyo ingekuwa kauli ya Afisa wa Jeshi kwa amiri Jeshi Mkuu.

Otherwise Mambosasa anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki, tusubiri tuone!

Sent using Jamii Forums mobile app

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Back
Top Bottom