Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Afwande Mambosasa umeeleweka sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana tunashika nafasi ya pili Afrika kwa kuzalisha filamu kwa wingi. Nigeria wanaongoza. Lakini kwa hali hii tunaweza kuwapiku muda si mrefu. Tatizo la filamu zetu ni ubora.Hii nchi ina sinema nyingi sana...
undefinedasije tu kwenda kuwa constable kule Nanyumbu...undefinedIla kafanya vizuri kunawa mikonoHaifiki ijumaa atapangiwa kazj nyingine believe me.
Pamoja na jibu alilotoa halitampendeza malaika, ila kafanya jambo jema kujitoaundefinedasije tu kwenda kuwa constable kule Nanyumbu...undefinedIla kafanya vizuri kunawa mikono
Hata kama Anasingiziwa Achutame tuuu....!?, huyo anaekosea-kosea kwa kuto shaurika atajuaje kama anakosea?.ama ye ni Malaika Mweusi aishie juu ya ubinadamu.Kwetu sisi wataalam wa Lugha na itifaki za Kiserikali, kauli ya mambo sasa ni utovu wa nidhamu si tu kwa Mkuu wa nchi Bali kwa Amiri Jeshi Mkuu.
Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe". Hiyo ingekuwa kauli ya Afisa wa Jeshi kwa amiri Jeshi Mkuu.
Otherwise Mambosasa anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki, tusubiri tuone!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe mnafiki, alitoa ile kauli baada ya kushutumiwa kutosema lolote kwenye haya matukio ya watu kutekwa.Tunajua Rais anajua kila kitu, asifikiri watanzania ni wajinga.
Kiofisi ni vizuri boss au junior kuwasiliana kiofisi kulikoni kujibizana au kutuhumiana hadharani .Naona kuna kitu hakiko sawa.Public sio ofisi.Mafaili yapo boss aandike junior ajibu.Haya mambo ya kuanikana hadharani na kujibizana hadharani kati ya mabosi na ma subordinate wao ni ukosefu wa nidhamu za kiofisi na lazima ukataliwe usiote mizizi . Taratibu za mawasiliano ya kiofisi yaheshimiwe na yatumike kwa wote mabosi na juniors.Kitu haliko sawa uliza kiofisi ujibiwe na junior kama kuna kitu hukioni sawa kiekezee kiofisi.Ndio maana vyuo vyote hufundisha business communication kwa kozi zote za sayansi na Arts ili zitumike zaidi
Kwa muda nilivaa viatu vya rais halafu nikawa nasoma alichonijibu, nikajikuta napandwa na hasira kali, nikachukua simu nimpigie igp ili ampeleke akawe analinda magodown, ndipo nikagundua mimi si rais na hata namba ya igp sina, dah!
Sikujua kama jpm ni muigizaji mzuri kiasi hiki!Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuibua maswali juu ya tukio la kutekwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa amejitokeza na kusema yeye alishamaliza kazi yake.
Mambosasa amesema baada ya yeye kumaliza kazi yake alikabidhi kwa viongozi wake wa juu na kwa sasa wanaojua kinachoendelea ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambaye anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.
Mambosasa amesema, “kuhusu maelekezo ya Rais aliyoyatoa kuhusu kutekwa kwa Mo, maadamu aliyatoa mbele ya Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi na DCI ambao walikuwepo, jalada hilo lilishafika kwao, huko ndiko wanakojua kinachoendelea".
“Mimi jukumu langu lilishakwisha kwa hiyo ni suala la maamuzi ya juu kuhusu hatua zilizofikiwa kwenye jalada hilo", ameongeza Kamanda Mambosasa.
Mapema juzi Ikulu akiwaapisha Makamshna wa juu wa Jeshi la Polisi, Rais Magufuli alisema, "Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo Dewji linaacha maswali, tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa."
Hawa wanatuchezea akili, bado Wanaendelea kutuona sisi wajinga. Hii movie yenu mliicheza kishamba sana na huyo Jiwe wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akikaa kimya si ndio lawama zitamwangukia??Mambosasa angekaa kimya tu,wenye akili zetu,tunajua hapa anatafutwa MTU wa kutolewa kafara,
Haiwezekani,ishu ya Mo,IGP asijue,DCI asijue,TISS wasijue,na wote wana ripoti kwa Mkulu,
Hii ni kama Ishu ya kikokotozi cha mafao,upuuzi ulifanywa na Waziri,Mkurugenzi wa SSRA akatolewa kafara
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali za kinafiki ndio watendaji wake wanabeba lawama za wakubwa.Kwetu sisi wataalam wa Lugha na itifaki za Kiserikali, kauli ya mambo sasa ni utovu wa nidhamu si tu kwa Mkuu wa nchi Bali kwa Amiri Jeshi Mkuu.
Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe". Hiyo ingekuwa kauli ya Afisa wa Jeshi kwa amiri Jeshi Mkuu.
Otherwise Mambosasa anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki, tusubiri tuone!
Sent using Jamii Forums mobile app