Mamelodi Sundown inapendelewa. Mashabiki wa ligi ya PSL Afrika Kusini wameanzisha petition

Mamelodi Sundown inapendelewa. Mashabiki wa ligi ya PSL Afrika Kusini wameanzisha petition

Yani narudia kusema, kama mpira ungekuwa unachezewa chumbani kuna watu wangretufunga kamba mno, ebu fikiria watu kama kina try again?


Sasa mpira wa Mamelodi, unahitajia nini kubebwa? Pale South Africa, timu gani ambayo walau inaisogelea kwa ubora? Timu ambayo inakalisha Afrika nzima na hamna mtu aliyenyanyua mdomo kupinga ushindi wao.

Hao acha warukeruke tu.
Kwahiyo mkuu wangu itakuaje sasa tar 30?
 
Mamelodi sundowns analalamikiwa anabebwa sana na marefa na viongozi wa ligi PSL.

Africa ujanja ujanja kila sehemu

Rais wa CAF ndio mwenye timu. Hivyo Marefa wanataka wamfurahishe bosi ili awape upendeleo na wao

View attachment 2818270
Hukumbuki wakati Barcelona inapiga soka la kiwango cha dunia nyingine, kukawa na maneno mengi kuwa inapendelewa sana?

Ndivyo ilivyo kwenye soka, usiwaache washindani wako kwa gape kubwa la ubora. Huja lugha za kujifariji za kuwa 'anapendelewa'.

Ova
 
Hukumbuki wakati Barcelona inapiga soka la kiwango cha dunia nyingine, kukawa na maneno mengi kuwa inapendelewa sana?

Ndivyo ilivyo kwenye soka, usiwaache washindani wako kwa gape kubwa la ubora. Huja lugha za kujifariji za kuwa 'anapendelewa'.

Ova

mamelodi hana gap lolote alilolawaacha wapinzani wake. mamelodi hamfikii Tp mazembe na hata enyimba kwa ubora zaidi ya kubebwa na marefa tu.

timu bora huwa haivai jezi yenye nyota moja. bali huwa inavaa jezi yenye manyota
 
Mamelodi sundowns analalamikiwa anabebwa sana na marefa na viongozi wa ligi PSL.

Africa ujanja ujanja kila sehemu

Rais wa CAF ndio mwenye timu. Hivyo Marefa wanataka wamfurahishe bosi ili awape upendeleo na wao

View attachment 2818270

Ngoja na sisi tuanzishe petisheni ya Utopolo kupendelewa na marefa na kununua mechi
 
mamelodi hana gap lolote alilolawaacha wapinzani wake. mamelodi hamfikii Tp mazembe na hata enyimba kwa ubora zaidi ya kubebwa na marefa tu.

timu bora huwa haivai jezi yenye nyota moja. bali huwa inavaa jezi yenye manyota

Upo sahihi kabisa
 
Mamelodi sundowns analalamikiwa anabebwa sana na marefa na viongozi wa ligi PSL.

Africa ujanja ujanja kila sehemu

Rais wa CAF ndio mwenye timu. Hivyo Marefa wanataka wamfurahishe bosi ili awape upendeleo na wao

View attachment 2818270
Malalamiko FC.
Ni sawa tu na ninyi mnavyopewa kona kwa mpira ulioingia kwenye nyavu
 
Hao wanaolalamika ni mashabiki wa kaizer na Orlando ambayo ilishindwa kumfungwa Jwanengy Galaxy
Kwa Sasa Mamelody kawazidi mbali sana wao waendelee kupambania derby zao hadi pale watakaporudia uwekezaji mkubwa na kuacha na u gang wa soweto

Umeona uhalisia wa mamelodi
 
Back
Top Bottom