Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 6, 2024 #61 FRESHMAN said: mamelodi hana gap lolote alilolawaacha wapinzani wake. mamelodi hamfikii Tp mazembe na hata enyimba kwa ubora zaidi ya kubebwa na marefa tu. timu bora huwa haivai jezi yenye nyota moja. bali huwa inavaa jezi yenye manyota Click to expand... JF ni encyclopedia, yote yamedhihirika bayana.
FRESHMAN said: mamelodi hana gap lolote alilolawaacha wapinzani wake. mamelodi hamfikii Tp mazembe na hata enyimba kwa ubora zaidi ya kubebwa na marefa tu. timu bora huwa haivai jezi yenye nyota moja. bali huwa inavaa jezi yenye manyota Click to expand... JF ni encyclopedia, yote yamedhihirika bayana.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 6, 2024 #62 FRESHMAN said: ngoja tuone mechi za mamelodi na yanga. timu nyingi zinalalamika mamelodi huwa anabebwa sana sababu rais wa caf ndie owner wa mamelodi, wanasema hata muda wa kucheza mechi anajipangia anavyotaka. hata jua kali hakataliwi kuchezaa home game zake. Click to expand... Kilichotokea wote tumeiona.
FRESHMAN said: ngoja tuone mechi za mamelodi na yanga. timu nyingi zinalalamika mamelodi huwa anabebwa sana sababu rais wa caf ndie owner wa mamelodi, wanasema hata muda wa kucheza mechi anajipangia anavyotaka. hata jua kali hakataliwi kuchezaa home game zake. Click to expand... Kilichotokea wote tumeiona.
Ivan Stepanov JF-Expert Member Joined Apr 22, 2023 Posts 6,799 Reaction score 22,209 Apr 15, 2024 #63 MELEKAHE said: Mamelodi anabebwa kweli nimeona Click to expand... Kwel kwasasa nina confidemse ya kusema pale tulionewa na jamaa wanabebwa ile laivu
MELEKAHE said: Mamelodi anabebwa kweli nimeona Click to expand... Kwel kwasasa nina confidemse ya kusema pale tulionewa na jamaa wanabebwa ile laivu