SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mbona wewe ndiye mpuuzi mwandamizi?Wenge la goli 7 bado wengi halijawatoka kichwani. Ona upuuzi unaoandikwa hapa, yani Kwa beki ya Onyango utegemee kumzuia Shalulile? Ni kwa namna gani Chama anaweza penetrate kwa ile backline yao matata
Mbaya zaidi wengi wao hata mpira hawaangalii ila nao wanafuata tu mkumbo na kusifia ujingaMamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.
Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.
Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Huu ni utaahira au ndio unyani kabisa?Unafungwa na Kaizer na Orlando una mtaka Mamelody[emoji16]
Rage akiwa mwenyekiti wa Simba Uto mlikula tano bila😂😅
pia wewe ni mmjawapo wa watu ambao manara alikuwa anawasemaa
Mwondoe Raja hapo maana hawezi akakutana na mnyama Robo fainali labda nusu fainaliMamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.
Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.
Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
na wewe umefungwa na vipers alaf unakuja kusema vipers ni vibonde/wabovuUnafungwa na Kaizer na Orlando una mtaka Mamelody[emoji16]
Sawa mkuu mtawatoa mamelod mkipangwa nao kwa ubora wa kikosi chenu sioni mamelod akivuka mbele yenu kikubwa ni kuendelea kumuheshimu Rage!Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]
Ni bora ufiche ujinga wako, hujui mpira, Raja wanapangwa vipi na Simba wakati wapi kundi moja?Mamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.
Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.
Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Ungekuwa kundi la petro ungetoboa mbele ya Wydad na Beloizdad? Waarabu wawiliMamelodi msimu uliopita alitolewa na petro ambaye kaishia makundi msimu huu
Mechi za mamelody zote nmeangalia mpira walioucheza Cairo ungeuona usingeongeaMbaya zaidi wengi wao hata mpira hawaangalii ila nao wanafuata tu mkumbo na kusifia ujinga
Tahira baba akoHuu ni utaahira au ndio unyani kabisa?
Kaizer hatujamfunga kwa Mkapa?
Na je uliangalia match ya south au ulisimuliwa na wachambuzi?
Mimi sio Yanga brother ficha ujinga wako Mimi ni Azam shishanikii team za wazeena wewe umefungwa na vipers alaf unakuja kusema vipers ni vibonde/wabovu
Mechi za mamelody zote nmeangalia mpira walioucheza Cairo ungeuona usingeongea
Al ahly na Mamelodi wana visasi vyao hivyo ni kawaida yao kukamiana..