Nasikitika kusema kwamba hakuna mwana simba mwenye kichwa kama chako.Mimi ni shabiki mwenzako wa Simba, tena mm ni zaidi yako mkuu naweza kukuwekea uthibitisho hapa uone ghetto langu lilivyojaa bidhaa za msimbazi lkn mkuu kwenye ukweli tuuseme tu Mamelody hatumuwezi hata akipanga kikosi cha pili.
Hata unaposema pira biriani siku hizi halipo msimbazi limeenda kwa wenzetu Yanga, kuona ni kuamini mkuu na mpira unachezwa uwanjani kila mtu anaona, hawa mamelody kama wangekutana na watani zetu Yanga angalau kungekuwa na la kuongea lkn sio sisi, Simba hatuna timu mwaka huu zile goli saba zisituvimbishe kichwa tukajiona tupo juu mkuu, goli saba tuliwafunga vipofu wale hawana uwezo.
Una kichwa kigumu sana mkuu, mpira ni mchezo wa kimbinu, Raja ni bora kuliko Simba ila Horoya waliingia na approach sahihi dhidi ya Raja na waka fanikiwa kupunguza idadi ya mabao,, Simba ina Quality kubwa mara mbili ya Horoya na mistake kubwa waliofanya ni kucheza kwa kufunguka wasijue kuwa kwa kufanya hivyo wanaingia kwenye mfumo wa mnyama. Mwisho wa siku scoreboard 7-0Kwa hiyo Simba ni bora kuliko Raja?
Mamelod hii hii last season iliula kibano murua kabisa toka Kwa Petro atleticoHao mamelodi sio watu wazuri hawafai hata kwa kurumagia....
Robo fainaliKwani alitolewa na petro kwenye raundi gani ?
Mimi sio mbumbumbu kama nyie. Mwenzako amesema ivyo akizungumzia swala la ubora ndio maana akasema vile sasa unakuja kuanza kusafisha upuuzi wake.Una kichwa kigumu sana mkuu, mpira ni mchezo wa kimbinu, Raja ni bora kuliko Simba ila Horoya waliingia na approach sahihi dhidi ya Raja na waka fanikiwa kupunguza idadi ya mabao,, Simba ina Quality kubwa mara mbili ya Horoya na mistake kubwa waliofanya ni kucheza kwa kufunguka wasijue kuwa kwa kufanya hivyo wanaingia kwenye mfumo wa mnyama. Mwisho wa siku scoreboard 7-0
Brother acha ushabiki kuwa realistic Simba hana uwezo wa Ku battle na Mamelodi Sundowns labda itokee tu maajabu ambayo kwenye football yapo lakini kwa quality, experience, technical bench hizi timu ni mbigu na aridhi
Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]
Niambie hio nafasi kubwa kwa Simba kumfunga Mamelodi umei determine vipi? sababu kama ni clubs ranking Mamelodi wapo juu, statistics wapo juu wewe ulisha wahi hata kutoa draw na Al Ahly pale Cairo? tuachieni ujingaMamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.
Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.
Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Mimi ni Simba lialia ila kiukweli wale jamaa ukiwaangalia wanajua Kuna mtu anaitwa Maema ,Mailula na Peter wale jamaa ndo injini pale kwa huu mpira wanaocheza labda Raja kidogo msimu huu ndo wako sawa ila jamaa wako far beyond us.Brother acha ushabiki kuwa realistic Simba hana uwezo wa Ku battle na Mamelodi Sundowns labda itokee tu maajabu ambayo kwenye football yapo lakini kwa quality, experience, technical bench hizi timu ni mbigu na aridhi
Kwakua hajaandika yanayokufurahisha?Nasikitika kusema kwamba hakuna mwana simba mwenye kichwa kama chako.
game ya Al Ahly na Sundowns 2-2 Cairo ule mpira hakuna timu ya bongo inaweza kuweka mguu pale, mtu anajiita mtu wa mpira vitu vidogo kama hivi havioniUmeandika personal feelings ndugu yangu ila naomba siku moja ukae uangalie mechi zote walizocheza CAFCL Huu msimu afu uje uedit thread
Niambie hio nafasi kubwa kwa Simba kumfunga Mamelodi umei determine vipi? sababu kama ni clubs ranking Mamelodi wapo juu, statistics wapo juu wewe ulisha wahi hata kutoa draw na Al Ahly pale Cairo? tuachieni ujinga
Okay poa huo mpira wa matokeo ulikwama kwa Raja Casablanca? kama Mamelodi wanacheza show game wamewezaje ku dominate ligi ngumu ya South Africa na Simba wameshindwa nini Ku dominate ligi dhaifu ya Tanzania? pili kuna timu inacheza objective football hapa Africa kama Al Ahly? jiulize kwanini anabondwa kila leo finally Mamelodi ana kombe kachukua msimu 2015/2016 je Simba kasha wahi fika hata semi final?Sababu simba anacheza mpira wa matokeo. Hachezi mpira wa kuuza sura. Mamelodi ndie angalau mnyonge wa mipira hiyo kuliko wenzake waydad ama esperence
Timu zingine ambazo simba anaweza kukutana nazo kama asipopangiwa mamelodi ni mbili zilizoongoza makundi yao ambazo ni Esperence na waydad casablanca, pia raja casablanca kaongoza kundi ambalo simba alikuwepo hivyo hawezi pangiwa raja.
Style ya esperence ama waydad casablanca ni ngumu kwa simba kuzifunga sababu huwa hazichezi mpira wa possession. Zinakuachia mpira ucheze wewe huku wao wanapiga mipira mirefu na kukufunga kibabe
Na hizo timu zinatwaa ubingwa mara nyingi kuliko mamelodi. Na huwa zinafanya vizuri kuliko mamelodi. Hata mamelodi mwenyewe hajawai kuzitoa hizo timu anapokutana nazo kwenye mitoano ya caf.
Jiulize mamelodi mara ya mwisho kuvuka robo fainali ilikuwa lini ?
Pia jiulize mamelodi amewai kutwaa ubingwa wa caf mara ngapi ?
Kisha maswali hayo hayo jiulize pia kwa esperence na waydad casablanca. Utapata majibu timu gani ni hatari zaidi kwa simba kati ya hizo 3 zilizoongoza makundi
Kila msimu mamelodi ni mzuri sana kwenye hatua ya makundi. Huwa anaongoza kundi lake kwa point kibao. Shida ya mamelodi huwa kwenye hatua za mtoano hasa robo. Huwa anatolewa kirahisi sana
Okay poa huo mpira wa matokeo ulikwama kwa Raja Casablanca? kama Mamelodi wanacheza show game wamewezaje ku dominate ligi ngumu ya South Africa na Simba wameshindwa nini Ku dominate ligi dhaifu ya Tanzania? pili kuna timu inacheza objective football hapa Africa kama Al Ahly? jiulize kwanini anabondwa kila leo finally Mamelodi ana kombe kachukua msimu 2015/2016 je Simba kasha wahi fika hata semi final?
Okay so unadhani Mamelodi hawjalitambua hilo kila mwaka watakua wanarudia makosa yale yale?Raja anacheza kama waydad na esperence anavyocheza. Ndio maana nimemtaja hapo juu sehemu nilipowataja hao wawili. Na nikaweka sababu why simba hatakutana nae.
Mamelodi hatishi kwa simba kama hao wengine.
Nenda katazame mechi zote mbili za mwaka huu 2023 zilizochezwa caf kati
Mamelodi vs Al hilal ya sudan.
Ya kwanza south africa
Na ya pili sudan
Jiulize Al Hilal na simba wana tofauti gani kiuwezo.
Kama Al hilal anaefanana kiwango na Simba anamsumbua Mamelodi why Simba ashindwe
Unajua hata huo msimu wa 2016 Mamelodi alitolewa kwenye mtoano. Akarudishwa tena mashindanoni acheze nusu fainali kwa maamuzi ya nje ya uwanja. Mamelodi Hakupita robo kwa kushinda mechi uwanjani.
Hata huo ubingwa wake aliupata kibahati maana alishatolewa.
Mamelodi anamuwezea Al Ahly hilo nakubali.. ila kwenye hatua za makundi. Sio kwenye mitoano.
Kwenye mitoano mamelodi hajawai mtoa Al Ahly zaidi ya mara moja.
Mara nyingi wakikutana mitoano Al Ahly ndie anaepita kwenda next stage