Mameneja watatu ila personality ya Diamond Platnumz inashuka siku hadi siku

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Huyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda utasema tu.

Diamond wa leo karudi kwenye usela ule wa black Americans wa miaka ya 90 kuvaa manguo makubwa na kunesanesa, ambao kimsingi ndio muonekano wa mateja wa sasa na masela mavi wa leo.

Je, mameneja wake hawalioni hilo ukizingatia brand kubwa aliyonayo ukiacha licha ya yeye kuwa CEO?

Hapa chini ni picha za muonekano wa zamani na wa sasa
 
Nadhani mwanamke nae anainfluence kubwa sana kwenye personality ya mwanaume. Sidhani mtu kama Zari angemruhusu mtu wake apige vitop kama hivyo. Saiz mondi anashindana na zuchu kwenye uvaaji..... Zuchu kmanyoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…