Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiishi na mswahil anachojua ni lombwata tu sio wewe kama weweMuonekano wa sasa
View attachment 2816654
Chimano jamaa wanamla jicho la Samaki asee 🤪hata wale jamaa wa sauti sol walianza hivyo.
Kwani uongo mkuu? Hebu pitia pitia kwenye account ya yammy tz huko insta utasadiki niyasemayo.We jamaa umenichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mswahili ndio nani? Emu tuanzie hapo kwanza wewe ni mzaliwa wa wapi samvu la Chole?Ukiishi na mswahil anachojua ni lombwata tu sio wewe kama wewe
Aiseeeee inabidi aanze kutembea na mawe mfukoniHuyo mwenye kipensi na kitop
Hili swala naona kama Lina muhusu yeye sisi halituhusuHuyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda utasema tu.
Diamond wa leo karudi kwenye usela ule wa black Americans wa miaka ya 90 kuvaa manguo makubwa na kunesanesa, ambao kimsingi ndio muonekano wa mateja wa sasa na masela mavi wa leo.
Je, mameneja wake hawalioni hilo ukizingatia brand kubwa aliyonayo ukiacha licha ya yeye kuwa CEO?
Hapa chini ni picha za muonekano wa zamani na wa sasa
[emoji23][emoji23]Muonekano wa sasa
View attachment 2816654
Huyo Jamaa inabidi apate mtu wa kumpiga brashi mawazo kichwani.Huyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda utasema tu.
Diamond wa leo karudi kwenye usela ule wa black Americans wa miaka ya 90 kuvaa manguo makubwa na kunesanesa, ambao kimsingi ndio muonekano wa mateja wa sasa na masela mavi wa leo.
Je, mameneja wake hawalioni hilo ukizingatia brand kubwa aliyonayo ukiacha licha ya yeye kuwa CEO?
Hapa chini ni picha za muonekano wa zamani na wa sasa
Ulikaa siti namba ngapi na hilo bango limewekwa kwa wapi labda emu tutoe matongotongo zingatia namba ya siti 😆🤪Nimepanda ndege Emirates na wamemuwekea angalizo, "listen at your own risk"
Hivi huyu ndy msanii wao mpya au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napenda tu kuwakumbusha mwamba ana zaidi ya billioni moja kwenye thamani ya magari yake pale nyumba ya kupanga
Najua utaona jambo la ajabu mimi kusema hivi ila jaribu kufikiria mtu ana 1 billion tanzanian shillings imekaa parking lot
Upo kumjadili msanii mavazi really bro?
Really?
Nigga even if he walks naked his bank account acts like a suit
Halafu umeamua kuchukua picha moja moja alizovaa suti tu
Jamaa alivaa ovyo toka zamani sio kwamba ameanza leo
Ukiwa hater unakua hater tu