Mameneja watatu ila personality ya Diamond Platnumz inashuka siku hadi siku

Mameneja watatu ila personality ya Diamond Platnumz inashuka siku hadi siku

Mondi wa Zuchu
Screenshot_20231117-173914.jpg
 
Huyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda utasema tu.

Diamond wa leo karudi kwenye usela ule wa black Americans wa miaka ya 90 kuvaa manguo makubwa na kunesanesa, ambao kimsingi ndio muonekano wa mateja wa sasa na masela mavi wa leo.

Je, mameneja wake hawalioni hilo ukizingatia brand kubwa aliyonayo ukiacha licha ya yeye kuwa CEO?

Hapa chini ni picha za muonekano wa zamani na wa sasa
Hili swala naona kama Lina muhusu yeye sisi halituhusu
 
Huyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda utasema tu.

Diamond wa leo karudi kwenye usela ule wa black Americans wa miaka ya 90 kuvaa manguo makubwa na kunesanesa, ambao kimsingi ndio muonekano wa mateja wa sasa na masela mavi wa leo.

Je, mameneja wake hawalioni hilo ukizingatia brand kubwa aliyonayo ukiacha licha ya yeye kuwa CEO?

Hapa chini ni picha za muonekano wa zamani na wa sasa
Huyo Jamaa inabidi apate mtu wa kumpiga brashi mawazo kichwani.
Bado ni jamaa wa Tandale, hana uwezo wa tungo za kushirikisha jamii kiutamaduni.
Nimepanda ndege Emirates na wamemuwekea angalizo, "listen at your own risk"
 
Napenda tu kuwakumbusha mwamba ana zaidi ya billioni moja kwenye thamani ya magari yake pale nyumba ya kupanga

Najua utaona jambo la ajabu mimi kusema hivi ila jaribu kufikiria mtu ana 1 billion tanzanian shillings imekaa parking lot

Upo kumjadili msanii mavazi really bro?
Really?
Nigga even if he walks naked his bank account acts like a suit

Halafu umeamua kuchukua picha moja moja alizovaa suti tu
Jamaa alivaa ovyo toka zamani sio kwamba ameanza leo

Ukiwa hater unakua hater tu
 
Tuwekee picha zote za mavazi zmani na picha zote unaita za mavazi ya sasahivi hapa


Mond anajua nini anafanya that why ujamuandika Bilnas hapa mond hana muonekano wa zamani na wasasa bali ana muonekano wa siku hio kaamua avaaje
 
Napenda tu kuwakumbusha mwamba ana zaidi ya billioni moja kwenye thamani ya magari yake pale nyumba ya kupanga

Najua utaona jambo la ajabu mimi kusema hivi ila jaribu kufikiria mtu ana 1 billion tanzanian shillings imekaa parking lot

Upo kumjadili msanii mavazi really bro?
Really?
Nigga even if he walks naked his bank account acts like a suit

Halafu umeamua kuchukua picha moja moja alizovaa suti tu
Jamaa alivaa ovyo toka zamani sio kwamba ameanza leo

Ukiwa hater unakua hater tu

Kwahiyo kwa sababu ana Bilion moja parking basi hatakiwi kuambiwa jambo lolote hata akikaa tako wazi[emoji16][emoji16].

Ana B moja shingoni pia ila akihama njia anaambiwa.wewe unamchukulia kama boss wako sisi huyu ni role model wa wadogo zetu.
 
Back
Top Bottom