Mameneja watatu ila personality ya Diamond Platnumz inashuka siku hadi siku

Mameneja watatu ila personality ya Diamond Platnumz inashuka siku hadi siku

Napenda tu kuwakumbusha mwamba ana zaidi ya billioni moja kwenye thamani ya magari yake pale nyumba ya kupanga

Najua utaona jambo la ajabu mimi kusema hivi ila jaribu kufikiria mtu ana 1 billion tanzanian shillings imekaa parking lot

Upo kumjadili msanii mavazi really bro?
Really?
Nigga even if he walks naked his bank account acts like a suit

Halafu umeamua kuchukua picha moja moja alizovaa suti tu
Jamaa alivaa ovyo toka zamani sio kwamba ameanza leo

Ukiwa hater unakua hater tu
Hebu leta picha basi tuone hiyo hovyo hovyo alokua anavaa zamani kiasi cha kuzidi hivi sasa... Mbona simple tu
 
Tuwekee picha zote za mavazi zmani na picha zote unaita za mavazi ya sasahivi hapa


Mond anajua nini anafanya that why ujamuandika Bilnas hapa mond hana muonekano wa zamani na wasasa bali ana muonekano wa siku hio kaamua avaaje
Mfuatilie vizuri utaelewa nachomaanisha...yaani hadi anawaiga madogo wa juzi kina Asake wakati yeye ni level za kina Davido utasema anaejielewa huyo kama brand?
1700327403143.jpg
 
Ukisikia maskini wanawaongelea ma tajiri, wakati wote huwa wanawaombea mabaya!
Akili ya Mond, inaweka ugari kwenye kaya nyingi Sana kupitia ajira anazotoa, wewe hata kwenye mfumo wa ajira rasmi haupo, hata PAYE Kodi ya mshahara haulipi, lakini upo kuombea watu mabaya! Mie na vimilioni vyangu vichache, nikisikia watu ndugu wanavyonisema richa yq wengi kuwasaidia, inaleta msongo Sana, sasa fikiria Mond, dangote, Simba, jinsi, alivyo national figure kuliko hata waziri mkuu, atakuwa na msongo kiasi gani, ingekuwa ni nchi ya kidemokrasia, Mond anamashabiki wengi anaweza kushinda hata uraisi! Kama alivyoweza Gorge Weah Liberia, au Yule DJ wa Madagascar!, Mond ni kama Trump kwa huku k wetu,fikiria aingie kwenye kinyanganyiro cha uraisi kupitia kwa ACT wazalendo! Ikulu anaingia asubuh
 
Kwahiyo kwa sababu ana Bilion moja parking basi hatakiwi kuambiwa jambo lolote hata akikaa tako wazi[emoji16][emoji16].

Ana B moja shingoni pia ila akihama njia anaambiwa.wewe unamchukulia kama boss wako sisi huyu ni role model wa wadogo zetu.
Sio boss wangu naona uzi hauna mantiki and yes kama mtu anakaa uchi hajaingilia maisha yako sidhani its a matter ya wewe kuja kuongea humu

Mtu sasa unajadili mwili wa msanii umekongoroka wtf bro 😃😃😃 watu washakimbilia kwenye unga sijui

90% humu huo unga wenyewe mnausikia tu na kuuona kwenye tv

Na wewe badala uattack mada ushaniattack mimi boss wangu diamond

Ushazoea kuendeshwa endeshwa unahisi kila mtu ana boss sio?😁😁😁
 
Sio boss wangu naona uzi hauna mantiki and yes kama mtu anakaa uchi hajaingilia maisha yako sidhani its a matter ya wewe kuja kuongea humu

Mtu sasa unajadili mwili wa msanii umekongoroka wtf bro [emoji2][emoji2][emoji2] watu washakimbilia kwenye unga sijui

90% humu huo unga wenyewe mnausikia tu na kuuona kwenye tv

Na wewe badala uattack mada ushaniattack mimi boss wangu diamond

Ushazoea kuendeshwa endeshwa unahisi kila mtu ana boss sio?[emoji16][emoji16][emoji16]

Eh[emoji16][emoji16]kusema diamond ni boss wako ni kukuatack ama kukukweza!!!mtu ambaye hupendi na unajisikia maumivu makali akikosolewa ni zaidi ya boss wako,ilifaa hata ushukuru nimeishia kusema ni boss wako,hata mama dangote,tiffah na nillan/dillan hawapo ktk nafasi hiyo yako.
 
Ulikaa siti namba ngapi na hilo bango limewekwa kwa wapi labda emu tutoe matongotongo zingatia namba ya siti 😆🤪
Katika ndege ya Emirates, ilikuwa Airbus 380, kuna music channel toka mabara yote duniani. Ilikuwa flight ya about 10hrs.
Nikapenda kusikiliza tungo za Afrika, hasa swahili language.
Diamond Platinumz huyo akajitokeza. Hapo ndipo nilpomchagua kumsikiliza, na angalizo linatokea-Artist Diamond is known to use foul language, listen at your own risk!
 
Ukisikia maskini wanawaongelea ma tajiri, wakati wote huwa wanawaombea mabaya!
Akili ya Mond, inaweka ugari kwenye kaya nyingi Sana kupitia ajira anazotoa, wewe hata kwenye mfumo wa ajira rasmi haupo, hata PAYE Kodi ya mshahara haulipi, lakini upo kuombea watu mabaya! Mie na vimilioni vyangu vichache, nikisikia watu ndugu wanavyonisema richa yq wengi kuwasaidia, inaleta msongo Sana, sasa fikiria Mond, dangote, Simba, jinsi, alivyo national figure kuliko hata waziri mkuu, atakuwa na msongo kiasi gani, ingekuwa ni nchi ya kidemokrasia, Mond anamashabiki wengi anaweza kushinda hata uraisi! Kama alivyoweza Gorge Weah Liberia, au Yule DJ wa Madagascar!, Mond ni kama Trump kwa huku k wetu,fikiria aingie kwenye kinyanganyiro cha uraisi kupitia kwa ACT wazalendo! Ikulu anaingia asubuh
Ndio avae kishoga kisa anawalisha

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huo muonekano wa kunesanesa upo hadi kwenye maisha yake ya kawaida au ni anapoonekana kwenye media
Life style ya mtandaoni, sio maisha halisi. Wasanii wanafanya kila namna ya kuendelea kujadiliwa, ambayo ni faida kwao.
 
Back
Top Bottom