Umesoma ht concept ya migration we pumbafu???Ulevi ni wewe na jamii yenu yote. Kwa akili yako punguani yakibongo huezi jiuliza kwa nini mtoto wa primary school anatoka nchi moja jadi nyingine kwa ajili ya masomo? inasema nini kuhisu hiyo taifa yenye mtoto ametoka? na sio eti kuna vita humo
Fala huyo hatumii akili.Wewe kwa ushamba wako wa kutotembea ndio unajua hutokea upande mmoja, nenda kule pwani katika County ya Kwale, kijiji cha Vanga, watoto huvuka mipaka na kusoma shule za Tanzania, kijiji cha Jasini, na wananchi wa Kenya huvuka kufuata hospital katika vijiji vya Tanzania.
Unachekesha ww.Tatizo wa kwenu mpka wa dar huja kusomea kenya...huoni km elimu yenu ina matatizo...
Mtanzania mwenye uwezo wa kifedha na akili zilizokomaa...mtoto wake hawez somea tanzania..
Aliekuzaa ndio shoga , mbona unajitoa hamnazo mwaya?.Kwani na wewe ni shoga?
Hio ndio sababu kuu Tanzania ni shamba la Bibi.Nchi zinataratibu na sheria tofauti, Tanzania ni tofauti kwasababu hatuna vitambulisho vya Taifa, na sio kila mtu ana Passport.
Sehemu kubwa ya mtaala kwenye skuli zao wanafunza watoto kuchambana na majungu ndio maana unaona wakimaliza skuli wanatafuta ajira ya kuchambana.Tz bado wanatumia curriculum ya kiswahili cha bongo? It produces very incompetent people.
kwa hiyo MK254 anapambana kinoma awe mbongo? hayupo kati ya hao 100?Hakuna raia wanaopigana Vita vya usiku na mchana ili wawe Watanzania kama raia wa Kenya
Muunganishe na Shunie ili awe shemeji yetuMkuu kuna jamaa yangu mkenya alishaniomba nimfanyie mpango apate pasi ya Tanzania,kuna mwingine juzi kati tu kaniomba nimfanyie mpango anunue kiwanja bongo tena akaenda mbali zaidi yuko tayari hata kuoa dada wa kitanzania ili mradi tu atimize ndoto yake ya kuishi bongo!
Cambridge inakua na mtaala kwani ni nchi pia?.Unachekesha ww.
Kumbuka kuna mitaala ya Cambridge huku.
Mtoto wa Tz alosomea Cambridge Almuntazir upanga huwez kumfananisha na fala yeyote alosomea Kenya.
Na sababu ya kufuata elimu ni ya kawaida.
Mm nataka mtueleze kindaki ndaki je hao wanafunzi walitaman kuishi kenya au walifata elimu tu na kurudi kwao???
Maana ht Waturuki hufuata elimu India ya udaktari nao tuseme wanataka kuishi India kwenye umaskini mwingi????!!!!!!
Sio baba yako?, nijuavyo anajiuza kule MombasaAliekuzaa ndio shoga , mbona unajitoa hamnazo mwaya?.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Your obsession with wanting Kenyans to want to be Tanzanian is pathetic. Here is the page from your bogus link.RAIA WA 100 KENYA WAKAMATWA MARA - Channel Ten
Zaidi ya watu mia moja Raia wa nchi ya kenya wamekamatwa wakijiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwenye vituo mbalimbali katika mpaka wa kenya na Tanzania eneo la Sirari wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara baada yaviongozi wa ccm kuwabaini wakikiuka sharia za nchi wannchama wa jumuiya...www.channelten.co.tz
Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili.
1) Kutaka kuhalalisha kupata uraia wa Tanzania, ili kutoroka hali ngumu ya maisha inayowakumba wakenya ikiwa ni pamoja na njaa.
2) Watumike kama mamluki wa Jubilee kupigia kura CHADEMA kama ilivyotokea mwaka 2015 ambapo Jubilee ilipigia kampeni CHADEMA na CHADEMA kumuunga mkono Uhuru Kenyatta 2017.
Nenda google, weka heading ya huu Uzi, itakuletea taarifa kamili.Your obsession with wanting Kenyans to want to be Tanzanian is pathetic. Here is the page from your bogus link.
View attachment 1188302
Unachekesha ww.
Kumbuka kuna mitaala ya Cambridge huku.
Mtoto wa Tz alosomea Cambridge Almuntazir upanga huwez kumfananisha na fala yeyote alosomea Kenya.
Na sababu ya kufuata elimu ni ya kawaida.
Mm nataka mtueleze kindaki ndaki je hao wanafunzi walitaman kuishi kenya au walifata elimu tu na kurudi kwao???
Maana ht Waturuki hufuata elimu India ya udaktari nao tuseme wanataka kuishi India kwenye umaskini mwingi????!!!!!!
Kama ambavyo wakenya hujazana Muhimbili, Ocean Road Hospital, na KCMC Hospital kule Moshi kwa ajili ya kufuata matibabu bora na nafuu, kwasababu Hospital zenu hamna kitu.
Hahahaha, Mbona Professor Mutua alisoma chuo Kikuu cha Dar?Mbna tundu lissu mkamshindwa basi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, Mbona Professor Mutua alisoma chuo Kikuu cha Dar?
Umepata pa kutorokea??Weka huo ushahidi na Mimi nitakuletea
Ona upupu mwingine huyu.
Hahahaha nimeamin ww km huvuti bangi wanywa local beer.Tatizo sio kutafuta uraia..elimu yenu mbovu...
Narudia tena...shule km saint kayumba wanasoma watoto wa walala hoi...wenye hela watoto wao husomea nje au hta international schools...elimu yenu mbovu..mpka nynyi wenyewe hamujiamini nayo
Kuna sababu za kiusalama yeye kuletwa Kenya.Mbna tundu lissu mkamshindwa basi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]