komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kw sababu ukienda kwengine maisha yatakupiga chenga...kw uvivu mlionao unafikiria ukija kenya utatoka ki biashara...haya hata elimu pia nchi gani utapewa kipaumbele kw elimu hyo yenu...uchapa kazi pia mtanzania amshinde mkenya....wivu si utaanza kuroga hku...
Hilo Kweli kabisa harafu watanzania hawana hata mawazo ya kutaka kuishi Kenya tena sio Kenya hata nchi zingine ni mara chache sana