Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Hebu tupangie series' za fuso Ili tujue unazifahamu vizuriFuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu
Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10
Usiongee vitu usivyovijua.
Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.
Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo
Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Tandam inabeba 17tnUtafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Wapare ndio wamiliki wakuu wa fusoMi Mpare[emoji1787]
cha pili ni madereva na uendeshaji mbovu
cha tatu ni barabara zetu
Hahahaha[emoji23]Wapare ndio wamiliki wakuu wa fuso
Hapo unakuta dreva kala mrungi wa vudeeHahahaha[emoji23]
Acha kabisaHapo unakuta dreva kala mrungi wa vudee
[emoji2] 2001 Nliwai Kukutana na fuso usiku nikiwa na sedan,Fuso ukikutana nalo usiku yale mataa wanayoweka utafikiri night club inayotembea au meli ya vibwengo baharini...
Dah....binafsi laana zangu nazielekeza kwa msanifu wa taa za mbele za Fuso... Labda kama aliambiwa Fuso ni gari ya kuwindia 🤣🤣🤣🤣🤭Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Fuso ni gari ya mizigo ya uzito mdogo fuso zinaonewa mbali na hayo pongezi kwao Mitsubishi koz fuso ni gari dume sana huwezi fananisha na gari za ulaya in term of durability na mwendoKuna wakati zinaingia miaka ile ya 2000+ bima nyingi walisita kuzikatia comprehensive insurance wakiona body umeifanyia modification maana zilikuwa zinapiga chini mno
Ndio maana zinauza sana AfrikaFuso ni gari ya mizigo ya uzito mdogo fuso zinaonewa mbali na hayo pongezi kwao Mitsubishi koz fuso ni gari dume sana huwezi fananisha na gari za ulaya in term of durability na mwendo
Hahahaa hawa wana mchezoTandam inabeba 17tn
Sio mashindano mkuu.Hebu tupangie series' za fuso Ili tujue unazifahamu vizuri
Na Mimi nitakuja Kwa evidence ..isije ukawaongopea watu wasiojua magari
Gari za ulaya? Gari zipi hizo za ulaya unazozipambanisha na FUSO?Fuso ni gari ya mizigo ya uzito mdogo fuso zinaonewa mbali na hayo pongezi kwao Mitsubishi koz fuso ni gari dume sana huwezi fananisha na gari za ulaya in term of durability na mwendo
Hahahaha hilo body huwa unaliangalia kwa uoga tu!Unakutana na gari ukitokea kwa nyuma unaweza kudhani ni scania,kwa kuangalia ile body yake...lakini ukija kwa mbele kuona ile kibini unakuta kumbe ni fuso.
Hivi unafahamu kwamba hata flat bed huwa ni Ton 7 ila inabeba mpaka Ton 42 Elfu!?Fuso mlangoni imeandikwa ton 4 lakini utakuta imebeba ton 12
Fuso super great Ile mende hakuna scania especially p series inaweza kufuataGari za ulaya? Gari zipi hizo za ulaya unazozipambanisha na FUSO?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app