Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Upo sahihi mkuu,chuma ikipakia Mali kuoza lazima itembee mwendo mkubwa kusudi mzigo usiharibikie njiani na ukizingatia bodi za hizo gari hazina mifumo ya kupozesha
Mwezi uliopita wa 8, nimetoka zangu Iringa kuelekea Moro si nikasema ngoja nidandie tank maana ilikua usiku saa tatu.
Eeh bwana ikajitokeza fuso nikasema sio mbaya ngoja niingie maana comfortability ya tank imezidi kwa fuso.

Ile fuso ilipakia njegere, ule mwendo sijawahi kuona tangu nazaliwa.
Nilicho jifunza hawa jamaa wa fuso wengi wanakodiwa kubeba mali mbichi kama nyanya, bamia, viazi waziwahishe sokon mapema kwa hiyo huo mwendo sasa.

Nikarud kweny kitand nikasema angalau likitikea la kutokea naweza kusalimika ila wapi usingiz uligoma kabisa.
 
Mwezi uliopita wa 8, nimetoka zangu Iringa kuelekea Moro si nikasema ngoja nidandie tank maana ilikua usiku saa tatu.
Eeh bwana ikajitokeza fuso nikasema sio mbaya ngoja niingie maana comfortability ya tank imezidi kwa fuso.

Ile fuso ilipakia njegere, ule mwendo sijawahi kuona tangu nazaliwa.
Nilicho jifunza hawa jamaa wa fuso wengi wanakodiwa kubeba mali mbichi kama nyanya, bamia, viazi waziwahishe sokon mapema kwa hiyo huo mwendo sasa.

Nikarud kweny kitand nikasema angalau likitikea la kutokea naweza kusalimika ila wapi usingiz uligoma kabisa.
Acha kabisa ya uck wanatamba watakavyo!!! Mbaya zaid wanasinzia na kuhama upande !!!
 
Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa


Anaongelea spec za manufacturer na ni kweli Fuso kwenye spec za Manufacturer ni tani nne ila hapa bongo ndio mzigo tunapiga tani kumi
 
Mbali na Hilo super great inabeba mzigo mkubwa kuliko mende scania mizani fuso haisumbui compare to scania
Hahahaha lile body refu la kubebea magodoro ndiyo linakuchanganya?

Ukiachana na mizigo myepesi kama magodoro, plastic na mizigo mingine ya namna hiyo, ule mkia wa super great huwa hauna kazi!

mende zote (8×4/2) haijalishi ni scania, benz, volvo au faw bongo GVM ni tani 33! Hiyo super great inayobeba zaidi ya scania inabebea wapi?



Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Tusibishane
Screenshot_2021-09-13-00-17-30.jpg


Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Usi isingizie Kvant na Mirungi huenda ni matairi ya retread ambayo hayajaiva vizuri

Kuisingizia Gongo na Waragi ni chuki binafsi tu.
 
Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1: Elimu ya MADEREVA
2: Barabara vimeo
3: Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa

Kama ndio uzoefu huo alaf hujui kwamba fuso ni tani4 tu basi wewe mzoefu kihiyo
 
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso (ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unaosababisha break kufeil !!
Hapo umenena.
 
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso (ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unaosababisha break kufeil !!
Hapo umenena.
Hakuna gari inabeba mzigo uliozidi kiwango Kwa Mujibu wa sheria zetu za Nchi!!
 
Acha upuuzi unataka kutuambia Wajapani waliotengeneza hii gari hawakufanya research, mje mtake kufanya nyie Mapopoma ambao hamjawahi hata kutengeneza baiskeli ya kwenu?
 
Back
Top Bottom