Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Unajua gari ikiwa ina tone 7 inaweza kubeba 20/22 Tones...Hii ni Kwa Mujibu wa manufacturers !!!..Tena Nchi nyingine Zinakula mzigo mkubwa zaidi!!Anaongelea spec za manufacturer na ni kweli Fuso kwenye spec za Manufacturer ni tani nne ila hapa bongo ndio mzigo tunapiga tani kumi