Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

road master

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
2,064
Reaction score
3,021
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya Malori jamii ya FUSO.

Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya Watanzania wengi!! Yaani kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nini.

Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara. Aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi, mirungi, K Vant, gongo nk. Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!

Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso (ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unaosababisha break kufeil !!
 
Neno utafiti limetumika vibaya. Yaan Japan wasifamye utafiti mje kufanya utafiti Wamatumbi?
Mkuu juma kuna namna wanayatengeneza hapa tanzania wanaongeza uwezo wa gari kubeba mzigo nafikiri ni hao wamatumbi unaosema(natania).

Sasa shida huwa gari inakuwa inalemewa na mzigo ambao ni mkubwa kwake kwa tunaosafiri hasa usiku utaona ni jinsi gani hizo gari haziwezi kutulia barabaran hasa ukiwa unaifata kwa nyuma utagundua hiyo shida.
 
Mkuu juma kuna namna wanayatengeneza hapa tanzania wanaongeza uwezo wa gari kubeba mzigo nafikiri ni hao wamatumbi unaosema(natania). Sasa shida huwa gari inakuwa inalemewa na mzigo ambao ni mkubwa kwake kwa tunaosafiri hasa usiku utaona ni jinsi gani hizo gari haziwezi kutulia barabaran hasa ukiwa unaifata kwa nyuma utagundua hiyo shida.
Wacha wafu wazikane
 
Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1: Elimu ya MADEREVA
2: Barabara vimeo
3: Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
 
Neno utafiti limetumika vibaya. Yaan Japan wasifanye utafiti mje kufanya utafiti Wamatumbi?
Usitusingizie Wamatumbi. Utafiti umefanywa kwa kuyaangalia mafuso yakiwa barabarani.

Yaani eti kwa mujibu wa utafiti, ukiliona Fuso umeona chupa ya K Vant, gongo, mirungi na bangi. Hayo ndio mautafiti ya mtafiti
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sio Fuso zote zina bodi ya Tanga mkuu.
Unataka tufungiwe tukale wapi?[emoji16][emoji16]

Najua unazifaham vizuri hizi gar we mpare

Fuso ni gari nzuri sana hata ukijumlisha na mod zetu za tabata ila msiisingizie jamani
Mi Mpare[emoji1787]
cha pili ni madereva na uendeshaji mbovu
cha tatu ni barabara zetu
 
cha pili ni madereva na uendeshaji mbovu
cha tatu ni barabara zetu
Huku kwenye haya wala sikubishiii hata kidogo nawajua hawa suka wet

Kuna watu wanabilingisha gari unamtazamaaa unarudi nyumbani kulia machozi mwanaume mzima

Manaake ukitaka kulipiza ukoo wao wote watakulaani😂😂😂😂

Ila Fuso gari nzuri sana
 
Neno utafiti limetumika vibaya. Yaan Japan wasifanye utafiti mje kufanya utafiti Wamatumbi?

Sidhani kama umemuelewa mtoa mada. Ukweli kwamba fuso la tani 5 kubeba tani 15 unajifanya hujui? Bodi zinafanyiwa modification na kuweza kubeba mzigo mkubwa kwa madai kwamba engine za hizi gari zina nguvu, bila kuzingatia uwiano wa uzito na bodi ya gari katika ile Centroid( centre of mass) na vitu kama hivyo.
 
Wazee wa zzziiiiii chaaaaa zzziiiiiii chaaaa zzziiiiii chaaaaaa, na kuchafua cabin kwa stickers, wamiliki wa fuso wananatakiwa wazuiwe hii tabia ya kuongeza ukubwa wa body huko nyuma na zbak vpis kma znavyotoka kiwandani.
 
Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10...
Fuso zizuiwe tabia ya kuongeza body urefu kwenda juu na zbak vipis kma znavyotoka kiwandani, maana inasababisha boss anaweka mzigo wake uliozidi uwezo wa gari na dereva akiona nafas kdogo anaongeza na mzigo wake huko barabaran mwsho wa siku gar inatembea inayumba barabara nzima tunao safir usik nafkiri huwa tunaziona vzur kabsa gar inayumba balaa
 
Back
Top Bottom