Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Huyu mleta mada ni mdangaji wa kimataifa, na akishadanga huko anakuja bongo kuwasaga wenzake, hivyo anaogopa kuharibiwa soko.
Duh! I wish siku moja nikuone nikuhug tu, unaonesha unapitia maisha magumu sana maskini, unachuki kali sana juu ya vijana walokuzidi maisha,
Ila nakuombea na wewe siku moja utakuja kula keki ya taifa 😄😄😄
 
1. Hajasema Tanzania tu, kasema nchi zinazoendelea kiujumla.

2. Anaogopesha wageni wapi, ukweli usemwe tu.

3. Mbona hutetei wanaume unavuta kwako tu, kasema wanaume wanachepuka sana, hawana hela, pia kachafua kabila la wachaga, kasema kuna mwanaume mchaga alikuwa akimuomba amlipie vitu bar😂

wanaume wote wako hivyo?
Aisee hujasoma maelezo yangu? kichwa cha habari je?
Kwanini unauliza mbona sitetei wanaume wakati kila kitu nimekiweka wazi, lol
 
HAPA NTARUDI NA SMARTPHONE BAADAE NIMSIKIE HUYO MZUNGU.....
 
Mkisoma maelezo yangu vizuri mtaelewa maana yangu, kwanza ni kitendo cha kuwajumuisha wanawake wote wa KITANZANIA wakati yeye amekutana na WADANGAJI wa DAR na ZNZ,
Hayo yote aliyoyaongelea ni aina ya wanawake alokutana nao barabarani na kwenye bars na clubs alipaswa aainishe hayo kwenye maelezo yake badala ya kujumuisha wote,

Pili hayo maneno akiyasema mtanzania kwenda kwa mtanzania mwenzake sio habari ila kuyasema mzungu kwenda kwa Watanzania ndio habari ilipo

Tatu yooooote aliyoyasema yapo kwenye nchi zote za Kiafrica na nchi zingine maskini kwanini iwe TANZANIA tu?

Nne hamuoni kama anawaogopesha wageni wenye matarajio ya kupata wenza wa maisha Tanzania kwa huo mjumuisho wake wa hao wanawake wadangaji na wanaume machawa anaokutana nao?
Amesema most of them are usually ...hivyo haja generalize kuwa ni wanawake wote
Mwisho amemaliza kwa kusema ni his own experience maybe others have different experience
Kiujumla yote aliyosema ni ukweli
 

View: https://youtu.be/9ebMOVI87h0?si=sJm0h1XJPQDVVuaQ

Jana nimetumiwa hiyo link na rafiki zangu ambao sio watanzania wakishtushwa na kukasirishwa na huyo mzungu akiwadhalilisha Watanzania hasa Wanawake,
Kwenye comments nimesikitishwa na baadhi ya wanaume wa Kitanzania wakimsapoti na kujichekesha chekesha kama fisi limeona fupa, mtu anaonesha ubaguzi wazi wazi kwa kuwaita Maskini, mna magonjwa ya zinaa, mnaomba omba, mnafake furaha na maisha bora n.k jitu linafurahi kisa hayo maneno kasema mzungu dah! naimagine huyo mzungu angekua amewasema hivyo Wasouth au Wanigeria sijui kama angekua anapumua sasa hivi,

Serikali inatumia billions of money kuita watalii Tanzania halafu watu kama huyu mzungu wanaongea uzushi na uongo ili kukimbiza watalii Tanzania, mtu kama huyu kwanini asifunzwe ili iwe fundisho kwa wageni wengine wakiwa nchini wafanye kilichowapeleka na sio kuongea uzushi na uongo kwenye mitandao?

(Hii tunaongea wenyewe kama familia) dada zetu wa Dar muwe na stara sisi tushawazoea kutuomba omba hela sasa akitokea mgeni mjikaze basi, wazungu hawajazoea kuombana ombana hela, tulia akupe mwenyewe, sio umekutana na mtu leo kesho unampa mkeka wa matatizo yako, kodi, bills, hospital, mama, wadogo zangu, acheni hizo mjishughulishe kama wenzenu wa mikoa mingine, mnawaponza wengine kwa makosa yenu, kadhalika kaka zetu ukitoka na mzungu usijibweteke bills zote alipe yeye jitutumie angalau hata mgawane nusu kwa nusu, unaweza ukasema nalipia vinywaji, lipia chakula au nalipia usafiri lipia chakula na vinywaji sio unajichekesha kesha tu ikija bill unavizia mwanaume mwenzio alipe haipendezi mbadilike!

Haya twendeni tukamshambulie huyo mzungu kwenye comments atukome waTZ.

mimi mwenyewe imenitokea,nimemtongoza mdada,ata haijaisha nusu saa ananiambia"naomba uniongezee elf 50 niongezee kodi ya nyumba"nilisimama na kuondoka
 
Yes Wana act Sana dada zetu ndio sababu utawaona Sana kwenye malls, supermarkets, beaches wakijifanya kuhang kumbe wadangaji Tu njaa Kali, wanaaibisha Sana waelewe hakuna pesa ya haraka pesa ni process na dunia ya Leo ukitumia uchi kamakitega uchumi umekwisha
Wacha watumie uchi bwana kwani sii mbususu zao na sie tunafaidika hapo hapo
 
Kasema;

1. Wanawake wa bongo wanajali sana hela - Kweli

2. Wanawake wa bongo wanavaa sana mawigi - Kweli

3. Wanawake wa bongo hawajali muda mnapokubaliana kukutana - Kweli

4. Wanawake wa bongo wanataka uhudumie ndugu zao ukiwa nao kwenye mahusiano - Kweli

5. Ni ngumu kufanya maongezi ya maana na mwanamke ambaye hajasoma/hajasafiri nje ya Tanzania - Kweli

Tena haya mambo atakuwa anayapitia zaidi kuliko wenyeji kwasababu ni mzungu. Hajadanganya.

Dah ukweli mchungu
Demu mnakutana inabidi ujipigie game tu ulale maana hakuna mnachowezq kuongea maana kichwani ni empty wamejaza akina Diamond, Zuchu, Mobeto nk.
 
Ukweli lazima usemwe,dada zetu wanatudhalilisha sana kwa tamaa zao.

Kitu ambacho hawajui, wao wanaamini wanaume wahuni ni WaAfrica tu kumbe hata Wazungu miongoni mwao Kuna washenzi kama washenzi wengine tu.

Wengi wanaishia kuliwa matako, wengine hata hufanyishwa group sex na Kila aina ya udhalilisha unakuta bado mwanamke yupo tu kisa Mzungu. Dah.
 
Back
Top Bottom