Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
 
Duh! I wish siku moja nikuone nikuhug tu, unaonesha unapitia maisha magumu sana maskini, unachuki kali sana juu ya vijana walokuzidi maisha,
Ila nakuombea na wewe siku moja utakuja kula keki ya taifa 😄😄😄
Boss wangu mie unavyonukia vizuri nahisi hataoga mwaka mzima🙊
 
Ukweli lazima usemwe,dada zetu wanatudhalilisha sana kwa tamaa zao.

Kitu ambacho hawajui, wao wanaamini wanaume wahuni ni WaAfrica tu kumbe hata Wazungu miongoni mwao Kuna washenzi kama washenzi wengine tu.

Wengi wanaishia kuliwa matako, wengine hata hufanyishwa group sex na Kila aina ya udhalilisha unakuta bado mwanamke yupo tu kisa Mzungu. Dah.
Wazungu wa kweli waliisha mwaka 2010, sasa hivi kila mtu tapeli
 

View: https://youtu.be/9ebMOVI87h0?si=sJm0h1XJPQDVVuaQ

Jana nimetumiwa hiyo link na rafiki zangu ambao sio watanzania wakishtushwa na kukasirishwa na huyo mzungu akiwadhalilisha Watanzania hasa Wanawake,
Kwenye comments nimesikitishwa na baadhi ya wanaume wa Kitanzania wakimsapoti na kujichekesha chekesha kama fisi limeona fupa, mtu anaonesha ubaguzi wazi wazi kwa kuwaita Maskini, mna magonjwa ya zinaa, mnaomba omba, mnafake furaha na maisha bora n.k jitu linafurahi kisa hayo maneno kasema mzungu dah! naimagine huyo mzungu angekua amewasema hivyo Wasouth au Wanigeria sijui kama angekua anapumua sasa hivi,

Serikali inatumia billions of money kuita watalii Tanzania halafu watu kama huyu mzungu wanaongea uzushi na uongo ili kukimbiza watalii Tanzania, mtu kama huyu kwanini asifunzwe ili iwe fundisho kwa wageni wengine wakiwa nchini wafanye kilichowapeleka na sio kuongea uzushi na uongo kwenye mitandao?

(Hii tunaongea wenyewe kama familia) dada zetu wa Dar muwe na stara sisi tushawazoea kutuomba omba hela sasa akitokea mgeni mjikaze basi, wazungu hawajazoea kuombana ombana hela, tulia akupe mwenyewe, sio umekutana na mtu leo kesho unampa mkeka wa matatizo yako, kodi, bills, hospital, mama, wadogo zangu, acheni hizo mjishughulishe kama wenzenu wa mikoa mingine, mnawaponza wengine kwa makosa yenu, kadhalika kaka zetu ukitoka na mzungu usijibweteke bills zote alipe yeye jitutumie angalau hata mgawane nusu kwa nusu, unaweza ukasema nalipia vinywaji, lipia chakula au nalipia usafiri lipia chakula na vinywaji sio unajichekesha kesha tu ikija bill unavizia mwanaume mwenzio alipe haipendezi mbadilike!

Haya twendeni tukamshambulie huyo mzungu kwenye comments atukome waTZ.

😿😿😿
 
Nitaupitia badae huu uzi naomba mnipe like ili usipotee

Nataka nichukue somo la kwenda kufundishia kanisan maana naona comment za wadau zimeshiba

Lakin na mimi nitachangia juzi nilikutana na dada mmoja nikamuomba namba, akanipa baada ya nusu mara naona msg yake kaka naomba nisaidie elf kumi, aisee nilishangaa sana kwakweli, hajui hata nimemuomba namba kwa sababu ipi, tiari mda huo huo nishaombwa elf kumi

Dada zetu wapunguze njaa kwa kweli
 
Kasema;

1. Wanawake wa bongo wanajali sana hela - Kweli

2. Wanawake wa bongo wanavaa sana mawigi - Kweli

3. Wanawake wa bongo hawajali muda mnapokubaliana kukutana - Kweli

4. Wanawake wa bongo wanataka uhudumie ndugu zao ukiwa nao kwenye mahusiano - Kweli

5. Ni ngumu kufanya maongezi ya maana na mwanamke ambaye hajasoma/hajasafiri nje ya Tanzania - Kweli

Tena haya mambo atakuwa anayapitia zaidi kuliko wenyeji kwasababu ni mzungu. Hajadanganya.
Haya yote aliyoyaongea ni ukweli mtupu.
 

View: https://youtu.be/9ebMOVI87h0?si=sJm0h1XJPQDVVuaQ

Jana nimetumiwa hiyo link na rafiki zangu ambao sio watanzania wakishtushwa na kukasirishwa na huyo mzungu akiwadhalilisha Watanzania hasa Wanawake,
Kwenye comments nimesikitishwa na baadhi ya wanaume wa Kitanzania wakimsapoti na kujichekesha chekesha kama fisi limeona fupa, mtu anaonesha ubaguzi wazi wazi kwa kuwaita Maskini, mna magonjwa ya zinaa, mnaomba omba, mnafake furaha na maisha bora n.k jitu linafurahi kisa hayo maneno kasema mzungu dah! naimagine huyo mzungu angekua amewasema hivyo Wasouth au Wanigeria sijui kama angekua anapumua sasa hivi,

Serikali inatumia billions of money kuita watalii Tanzania halafu watu kama huyu mzungu wanaongea uzushi na uongo ili kukimbiza watalii Tanzania, mtu kama huyu kwanini asifunzwe ili iwe fundisho kwa wageni wengine wakiwa nchini wafanye kilichowapeleka na sio kuongea uzushi na uongo kwenye mitandao?

(Hii tunaongea wenyewe kama familia) dada zetu wa Dar muwe na stara sisi tushawazoea kutuomba omba hela sasa akitokea mgeni mjikaze basi, wazungu hawajazoea kuombana ombana hela, tulia akupe mwenyewe, sio umekutana na mtu leo kesho unampa mkeka wa matatizo yako, kodi, bills, hospital, mama, wadogo zangu, acheni hizo mjishughulishe kama wenzenu wa mikoa mingine, mnawaponza wengine kwa makosa yenu, kadhalika kaka zetu ukitoka na mzungu usijibweteke bills zote alipe yeye jitutumie angalau hata mgawane nusu kwa nusu, unaweza ukasema nalipia vinywaji, lipia chakula au nalipia usafiri lipia chakula na vinywaji sio unajichekesha kesha tu ikija bill unavizia mwanaume mwenzio alipe haipendezi mbadilike!

Haya twendeni tukamshambulie huyo mzungu kwenye comments atukome waTZ.

Tatizo watu wengi hatupendi kuambiwa ukweli, alichoongea huyo mzungu kina asilimia kubwa ya ukweli Culture Me
 
Juzi tu nmetoka kutongoza mrembo insta.

Hata hatujaonana keshokutwa yake ananiomba laki moja eti akahemee ndani ameishiwa kila kitu.

Hivi nyinyi wanawake mbona majinga sana?
Half wanamtukana mzungu wa watu, huyo mzungu kaongea ukweli Teslarati
 
Juzi tu nmetoka kutongoza mrembo insta.

Hata hatujaonana keshokutwa yake ananiomba laki moja eti akahemee ndani ameishiwa kila kitu.

Hivi nyinyi wanawake mbona majinga sana?
Eeeh laki hapana si bora ukanunue mbususu.
 
Nitaupitia badae huu uzi naomba mnipe like ili usipotee

Nataka nichukue somo la kwenda kufundishia kanisan maana naona comment za wadau zimeshiba

Lakin na mimi nitachangia juzi nilikutana na dada mmoja nikamuomba namba, akanipa baada ya nusu mara naona msg yake kaka naomba nisaidie elf kumi, aisee nilishangaa sana kwakweli, hajui hata nimemuomba namba kwa sababu ipi, tiari mda huo huo nishaombwa elf kumi

Dada zetu wapunguze njaa kwa kweli
Kwan ulimuomba namba kwa lengo gan😊?
 
Nitaupitia badae huu uzi naomba mnipe like ili usipotee

Nataka nichukue somo la kwenda kufundishia kanisan maana naona comment za wadau zimeshiba

Lakin na mimi nitachangia juzi nilikutana na dada mmoja nikamuomba namba, akanipa baada ya nusu mara naona msg yake kaka naomba nisaidie elf kumi, aisee nilishangaa sana kwakweli, hajui hata nimemuomba namba kwa sababu ipi, tiari mda huo huo nishaombwa elf kumi

Dada zetu wapunguze njaa kwa kweli
Bora aseme tu anauza.
 
Kama hao wanawake walifanya hayo huyo mzungu ana kosa gani
 
Back
Top Bottom