Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Juzi tu nmetoka kutongoza mrembo insta.

Hata hatujaonana keshokutwa yake ananiomba laki moja eti akahemee ndani ameishiwa kila kitu.

Hivi nyinyi wanawake mbona majinga sana?
Sasa ulitaka asikuombe? Au akamuombe nani?
 
Yes wafanye kazi na waache kutumia uchi kama kitega uchumi
 
Bora huyo mzungu kuliko lesbian
 
Wewe umenikumbusha siasa za Kikwete kwenye documentary ya mapanki!

Tz nzima ilikurupuka kulaani na kukanusha kutokutumia screpa za sangara kama kitoweo!

Nenda Mwanza na kanda yote ya ziwa kuupata ukweli wa tuhuma hizo!

Tunapenda sana kukanusha mambo tunayoyafanya na kuyapenda.

Kama hatutaki aibu, basi tujiepushe kufanya vitendo vya fedheha na ufedhuli.

Kwani dada zetu malaya hawaishi na U.T.I sugu, siyo omba omba kwa kila danga anayejiseti?

Tulaani nini sasa?
 
Tatu yooooote aliyoyasema yapo kwenye nchi zote za Kiafrica na nchi zingine maskini kwanini iwe TANZANIA tu?
Amesema haya yapo karibia kwa nchi zote zinazo endelea.
Amesema wapo baadhi wenye tabia tofauti ambao unaweza kuwapata kupitia marafiki siyo bar na nightclub.
Mzungu ameongea ukweli mwanzo mwisho.
Wengi hasa wasichana wadogo wapo desperate sana. Washauri I wadogo zenu wapunguze wenge na showoff.
 
Kasemea Tanzania ambapo anaexperience unataka asemee sehemu ambayo hata haijafika? Hada kwenye dating site Ukitaka kumtapeli demu wa kibongo ujifanye mzungu
 
Kawaharibia soko au kafanyaje? Mbona mengi anaongea ni ukweli? Tangu lini tumeanza kuogopa ukweli?
 
Duh! I wish siku moja nikuone nikuhug tu, unaonesha unapitia maisha magumu sana maskini, unachuki kali sana juu ya vijana walokuzidi maisha,
Ila nakuombea na wewe siku moja utakuja kula keki ya taifa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ona sasa, mm na wewe nani masikini. Bitch I can feed your whole family na chenji ibaki upumzike kudanga na kupigwa Double Penetration na hao waarabu

Sasa ulitaka asikuombe? Au akamuombe nani?
Au ndo wewe nini?
 
Duuh
 
Jamaa kaongea ukweli mtupu , ukidate mwanamke wa kibongo lazima utegemee bills kama zote: Ni kama wewe ndio umeenda kumtatulia matatizo yake. Halafu ukiwaona kwenye Instagram sasa utasema bonge la mwanamke kumbe full editing ukijaonana mbovu tu. Ukweli mtupu huo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mbona kawachana ukweli Yani unakuta dada unafake maisha ili uolewe na mzungu Kuna mpangaji jirani yangu alijishobokesha sana Kwa mzungu mpaka akifirwa na kurekodiwa kumbe mzungu mwenyewe Koko Hana maisha
😳😳
 
Ona sasa, mm na wewe nani masikini. Bitch I can feed your whole family na chenji ibaki upumzike kudanga na kupigwa Double Penetration na hao waarabu


Au ndo wewe nini?
Wewe bhana ni kapuku apeche alolo, unajifaragua kwenye keyboard ila sisi wajanja wa town tunaelewa, eti you can feed my whole family πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ maskini kwa kujifariji hamjambo,
Sikia bro, piga kazi hata sisi tumefika hapa tulipo kwa kupiga kazi hata siku tukiondoka duniani familia zetu tutaziacha fresh, achana na chuki na majungu kwa watu usiowafahamu unajifukuzia baraka.
 
Kwa kuwa alieongea hayo ni mzungu wadau humu lazima wamtetee ila angezungumza mkenya au mnigeria ungeona povu la kutosha
Cc@infopreneur MIN Rorscharch
 
Kwa hiyo kumbe haya ndio yamemchukiza huyu mleta mada hadi amekuja huku kushtaki eti tuungane nae twende tukamtukane huyo mzungu huko yutube?

Yaani mimi nikajua pengine labda huyo mzungu ameongea mambo ya kizushi yasiokuwa na ukweli wowote ambayo yanahatarisha ujio wa wawatalii kama mleta mada anavyohisi... kumbe mleta mada amechukizwa na mzungu kuexpose kasumba mbovu za madada wa kitanzania ambazo ni za kweli na ni kero kwa mtu yeyote mwenye akili timamu?

Anyway huyu mleta mada ni miongoni mwa watanzania wengi wenye akili ndogo ambao ukiwaambia ukweli wanasema umewadhalilisha na badala yake mtu anayelea na kufunika ujinga wao ndio wanamuona mustaarabu.

Eti "tuungane tukamtukane huyu mzungu" serious? Aungane yeye na wote walioguswa na hayo maneno ambao obvious ni wadangaji tu ndio wakamtukane huyo mzungu wa watu msema kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…