Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao ni kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujui Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Nyerere
Daaahh
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
CCM kilitakiwa kufutwa ili kuanzishwa vyama vingine ambavyo ndio vingesajiliwa upya, mali zote zingegawanywa.
 
Back
Top Bottom