Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Nashindwa kuelewa hivi kina mabeyo hawayaoni haya yanayoendelea,sizani kama kipenzi chetu Magufuri aliyekuwa na uchungu na Tanzania angefanya haya,yaani tumerudi miaka 100 nyuma
Angalia ndugu unachokoza nyuki. Unaweza kupotea mzima mzima usijulikane. watoto wako bado wanakuhitaji. Pili ogopa sana wanajeshi kutawala nchi. Tunaomba hayo yasitokee.
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Tumeisha shauri sana lakini nchi hii tuna tatizo la udini

Wa imani yake wanaamini ni zamu yao sasa kuuza na kugawa kwa wakoloni wa zamani waarabu,

huwaambii kitu hapo, nasikia mwarabu kawaahidi kuwajengea misikiti

Nchi inaondoka taratiibu miaka michache hakuna nchi
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Nani atamzuia, rais ndio kila kitu, ndio katiba, ndio sheria, ndio bunge,wa, kumzuia, tulitegemea intelijensia, wamtulize, lakini kule kumejaa sycophants watupu/machawa,
Jwtz ndio kabisa, kuna mgogo mjinga mjinga tu pale juu,
 
Wanajua fika Kila kitu!

Wanataka asigombee tena,ni mwendo wa hujuma za kisayansi Hadi aombe pooo!

Hakuna asiejua haya!
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Mama Abdul na Abdul wao ni $$$ period!
Uzalendo mtajijuwa....
Inasikitisha sana sana sana...
 
Kumaanisha majeshi yote plus TISS kibongo bongo zina buluzwa na mtu mmoja
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Mfufueni basi abadilishe
 
Angalia ndugu unachokoza nyuki. Unaweza kupotea mzima mzima usijulikane. watoto wako bado wanakuhitaji. Pili ogopa sana wanajeshi kutawala nchi. Tunaomba hayo yasitokee.
Kupotea siyo tatizo hakuna atakayeishi milele,huwezi kuona vitu vinakwenda sivyo halafu ukae kimya,hata baba zetu angekuwa kimya tusingezaliwa ndani ya Tanzania guru ingawa sasa hivi hatuko huru
 
Back
Top Bottom