Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Mna ugonjwa wa mtindio wa ubongo, mama yenu auze nchi lawama atupiwe Nyerere, kwani hiyo katiba ndio ilimwambia mama yenu auze nchi?!

Nyerere kushindwa kubadilisha Katiba mbovu iliyopo, nyie mliopo sasa kinawashinda kitu gani?, ok, kumbe kwasababu mna mtindio wa ubongo!..
 
Mna ugonjwa wa mtindio wa ubongo, mama yenu auze nchi lawama atupiwe Nyerere, kwani hiyo katiba ndio ilimwambia mama yenu auze nchi?!

Nyerere kushindwa kubadilisha Katiba mbovu iliyopo, nyie mliopo sasa kinawashinda kitu gani?, ok, kumbe kwasababu mna mtindio wa ubongo!..
Hauwezi kuwasilisha hoja yako hila kutumia lugha ya kashfa?
 
Nashindwa kuelewa hivi kina mabeyo hawayaoni haya yanayoendelea,sizani kama kipenzi chetu Magufuri aliyekuwa na uchungu na Tanzania angefanya haya,yaani tumerudi miaka 100 nyuma
Ukiona wamekaa kimya maana ake wameona lkn wameyakubal kwasbb yapo sawa. Ni ww pekeako na wenzako wawili watatu ambao mnaona hayapo sawa.
 
Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Na hapa ndipo mwanzo wa akili mbovu;
  • Hassan
  • Ben
  • Mrisho
  • John
  • Samia

Unazungumzia jumla ya miaka mingapi ya kiutawala tangu Julius aache madaraka?

Toka siku aliyokufa mpaka leo, unazungumzia miaka mingapi?

Unahitaji nini na muda gani kurekebisha aliyokosea mtu mmoja?

Unamzungumzia Lisu ambaye ndani ya mfumo wake, hakuna kustaafu?
- Jina tu anaandika LISSU, anaweza kuwa na akili ya kumkosoa Julius sasa?

Sio mbaya, wapenzi na mashabiki wa mwamba karibuni!😀
 
Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.
Aliowaweka madarakani ndiyo wenye bunduki, je watakuelewa
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Nani wa kumzuia? Hivi mnadhani yeye ni mjinga?
Ina maana alipoamua kuisambaratisha na kuipanga upya idara mlikuwa hamjaelewa tu kitakachofuata? Alipoamua kuisafisha Ikulu kwa kuwaindoa wote bado tu mlikuwa hamsomi alama? Leo mnataka wamsimamishe, nani atakayemsimamisha?
 
Ndo tabu ya wanawake kuongoza...wanaongoza kwa hisia akibembelezwa tuu unatoa kila kitu...
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Alijua atakufa na kutuacha tujijue wenyewe
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu

Wew kama mpka leo unamlaumu nyerere, ukapimwe akili. Hata ukitaka kutueleza mabaya 100 ya nyerere ila na hakika atakuwa na nazuri 101 ya kuzidi.

Tukuulize wew, upo na zuri gan kwa taifa la kufanya ulaumu mabaya ya nyerere?

Tukuwe sio wakati wa nyerere, tuamke na tubadilike mbona jiran zetu hapo tu kuna Gen Z wanakiwasha. Ila wew unabaki shujaa nyuma ya kibodi una type upo kitandan kabisa.
 
Bongo mwenyekiti wa serikali za mitaa tu ni untouchable sembuse Rais!! Mwacheni tu amalize muda wake aende zake.
 
Msiowaza ngono mmefanya nini kuzuia nchi isipigwe mnada?

Kwa huu uchawa wa kila mtu anataka rais amuone unategemea mabadiliko gani hapo?
Mtu anaepaza sauti kukemea maovu ni tofauti na mtu aliye kaa kimya
Sauti Inanguvu nikuulize unazani Nini kingetokea kama tungekuwa na tbc nchi nzima hakuna Twitter hakuna jf
 
CHIEF MANGUNGO AOMBWE MSAMAHA,
FAMILIA NA NDUGU WA CHIEF MANGUNGO WAOMBWE MSAMAHA. SERIKALI IFANYE HIVYO KUPITIA WIZARA YA ELIMU LAKINI PIA NASI WATANGANYIKA TULIOFUNDISHWA KUPITIA MACHAPISHO MBALIMBALI NA VITABU YA KWAMBA CHIEF MANGUNGO HAKUWA KIONGOZI MWENYE AKILI TUOMBWE MSAMAHA NA MACHAPISHO YALE YAFUTWE.

NASEMA HIVYO KWAKUWA NI WAZI KWAMBA ILE MIKATABA ALIYOISAINI YULE MZALENDO NDIO ILIYOPELEKEA UWEPO WA RELI, HOSPITAL MBALIMBALI IKIWEMO ILE YA BELEGA.
 
Mwenye clip ya Gwajiboy akielezea namna ambavyo chanjo ya COVID itawageuza viongozi wetu na kuwa MAZEZETA ili waje wasaini MIKATABA MIBOVU aisogeze tuitafakari tena ijapo tayari waliochanjwa ni mazezeta.
 
Back
Top Bottom