Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Waacheni wajipigie sasa hayo maardhi yanafaida gani yamekuwepo miaka mingi na hatujapata kitu.Dah
Wanawezaje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waacheni wajipigie sasa hayo maardhi yanafaida gani yamekuwepo miaka mingi na hatujapata kitu.Dah
Wanawezaje kwa mfano?
Mchawi wa kutokea kwa madhila yote haya ni Katiba Mbovu tuliyonayo.Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.
Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.
Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.
Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.
Hili lisijirudie jamani.
Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.
2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua
3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie
Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Huyu Mzee alikuwa anapenda sana TANU na CCM kuliko Taifa.Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.
Kwenye kila changamoto inayotokea kwenye jamii lazima wanufaika wapo.Hao wanufaika hata uwaambie katiba ni mbovu huku unalia na umevua nguo zote hawawezi kukuelewa.Mchawi wa kutokea kwa madhila yote haya ni Katiba Mbovu tuliyonayo.
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.
Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.
Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.
Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.
Hili lisijirudie jamani.
Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Na ukitaka uwachokoze,dai katiba bora,andaa maandamano au itisha mikutano ya hadhara.Watakuijia juu kama watu wenye uchungu mkubwa sana na nchi.Kumbe,wanaogopa na kutetemeka wakijua unataka kuwapora utamu mikononi mwao.Keki imekuwa tamu watu wanapokezana tu, madaraka yamewalevya
Hawana hata wasi wasi wala huruma. LolKeki imekuwa tamu watu wanapokezana tu, madaraka yamewalevya
Mwenye macho huwa haambiwi tazama.Tunaanzia wapi mkuu
hivi hakuna "mjeda" mwenye akili kama yule wa Burkina Faso kambi zote hizi tulizo nazo?Mzed kikwete akaja na miradi ya Richmond, Dowans, Escro nk
Tutaanza kuona kama kuna fundisho limeingia kwenye vichwa vya wabongo mnamo tarehe 27/11/2024.Mwana kuyataka.....yani na badoo
Usitegemee kituTutaanza kuona kama kuna fundisho limeingia kwenye vichwa vya wabongo mnamo tarehe 27/11/2024.
hivi hakuna "mjeda" mwenye akili kama yule wa Burkina Faso kambi zote hizi tulizo nazo?
Tutaanza kuona kama kuna fundisho limeingia kwenye vichwa vya wabongo mnamo tarehe 27/11/2024.
Kwa hiyo niendelee kulima mihogo na mchicha tu?Horrible!Usitegemee kitu
Jilimie mchicha utaongeza damu na familiaKwa hiyo niendelee kulima mihogo na mchicha tu?Horrible!