pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.