pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
- #41
Ukitaka kujua ni matusi au si matusi hembu yalekezwe kwako tuone mapokeo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengi ndani ya hizo taasisi hawapo na Mama yenu.Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Si shida, mama yuko fair na hata upinzani wanaweza baada ya mda mrefu kupata viti vingi bungeni na kwenye udiwaniWatu wengi ndani ya hizo taasisi hawapo na Mama yenu.
2024 kwenda 2025 mtaona ukweli.
Kutakuwa na zaidi ya matusi.Si shida, mama yuko fair na hata upinzani wanaweza baada ya mda mrefu kupata viti vingi bungeni na kwenye udiwani
Tatizoni ni matusi ya nguoni, bas hapo tu
Wenye kuharibu amani ni wenye kulazimisha mambo ya hovyo kwa taifa.Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Wamekosa hoja wamebaki na virojaMkishabanwa kwa hoja ndiyo zenu kujidai mnaitetea amani.Hamjaanza leo.Mlianza kwa kuonesha filamu za mauaji ya Rwanda,kuonesha makontena feki yenye mapanga na visu hadi kusingizia watu kesi za ugaidi.Tokeni mbele muuelezee mkataba na DP World umekaaje?Acheni uongo na utapeli!
Na changamoto yao ni kutokujifunza kuenenda na mapigo ya muziki wala hawasomi alama za nyakati.Alama waijuayo ni ile ya kuonesha kivuko cha ng'ombe/mifugo tu.Wamekosa hoja wamebaki na viroja
Hakika mkuu,wakishashiba maharage wanaona ndio maisha hayo,kumbe bado sanaNa changamoto yao ni kutokujifunza kuenenda na mapigo ya muziki wala hawasomi alama za nyakati.Alama waijuayo ni ile ya kuonesha kivuko cha ng'ombe/mifugo tu.
Acha kabisa.Na wakishiba ni wepesi kuingia kucheza ngoma kwa kujichanganya na fujo tele ili kuvuruga utulivu.Na hapo ndipo wanajipa uhalali wa kutujambia hovyo.Tukilalamika wanatutuliza kwa usemi wa kiswahili ..."USHUZI WA NGOMANI MJAMBAJI HAJULIKANI"...!Hapo wanatucheka wakijua fika kabisa ni nani mchafuzi wa hali ya hewa.🤔Hakika mkuu,wakishashiba maharage wanaona ndio maisha hayo,kumbe bado sana
Sasa hv hawatampelekesha mtu,tumewashtukia,watanganyika hawataki kuuzwaAcha kabisa.Na wakishiba ni wepesi kuingia kucheza ngoma kwa kujichanganya na fujo tele ili kuvuruga utulivu.Na hapo ndipo wanajipa uhalali wa kutujambia hovyo.Tukilalamika wanatutuliza kwa usemi wa kiswahili ..."USHUZI WA NGOMANI MJAMBAJI HAJULIKANI"...!Hapo wanatucheka wakijua fika kabisa ni nani mchafuzi wa hali ya hewa.🤔
Nchi ni tulivu kbs wala hakuna wa kuleta uvunjifu wa amani!! Nnachojua kuna kundi halitaki issue ya DP world ikosolewe!!Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Idara yako itakua kulinda uh.aro ndio maana unaandika uh.aro.Tayari ni mteule siku nyingi tu
Kama yula Mbelgiji washughulikiwe haraka sanaKwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,
Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza
Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Hujakosea kabisa, nalinda uharo usiwamwagikie,Idara yako itakua kulinda uh.aro ndio maana unaandika uh.aro.
Tatizo hawakosoi, wanatukanaNchi ni tulivu kbs wala hakuna wa kuleta uvunjifu wa amani!! Nnachojua kuna kundi halitaki issue ya DP world ikosolewe!!
AsapKama yula Mbelgiji washughulikiwe haraka sana