Mamlaka kuweni makini kuna mamluki wanataka kuleta fujo na kuisambaratisha amani yetu

Mamlaka kuweni makini kuna mamluki wanataka kuleta fujo na kuisambaratisha amani yetu

Ni mgeni tu ndio hajui na haitakii amani tanzania
Sioni kama unaizungumzia amani, bali naona unasisitiza watanzania tuendelee kuwa makondoo. Naona watu wanazidi kuamshwa kwenye ukondoo ndio mmajifichia kwenye amani. Kama mngekuwa mnajali amani msingekuwa mnapora chaguzi za nchi hii.
 
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,

Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza

Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Acha watu watoe maoni yao katika nchi huru au unataka udikteta wa Magufuli urudi.
 
Sijipendekezi, nasema ukweli, matusi yamezidi na uongo mwingi usiokuwepo, lengo kwani ni nini?
Kama ni urais si msubiri sanduku la kura?
Ukweli sio matusi tafadhali. Tusubiri uchaguzi kwani Tanzania kuna uchaguzi? Hapa kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Matusi huwa yanakuwepo wakati wa uporaji wa chaguzi zetu. Inaonekana ww uhayawani kwenye chaguzi zetu kwako sio tatizo, maana ww ni mfaidika wa uporaji ule.
 
Bandari zetu zote Tanganyika alizopewa mwarabu milele tunazitaka, haiwezekani Mungu atupe rasilimali kwa mapenzi yake, halafu sisi tuzitoe bure kwa wajomba wa kiarabu, huu ni ujinga mkubwa sana usiovumilika milele.
Kuna bwana mmoja anaitwa Mkunda sijasikia anatoa tamko lolote juu ya hili. Hivi ukiajiriwa kulinda nyumba na kuna tishio la wizi hupaswi kumtamkia mwajiri wako (wananchi) tishio la uporaji huo?
Hebu atoke aliko atimize wajibu tuliompa asikubali kugeuzwa kada.
 
Madalali wa bandari zetu ndiyo mamluki wenyewe
 
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,

Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza

Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Wewe umetumwa kuhalalisha unyama na udikteta wenu kwa kisingizio cha wananchi kulalamika et rais anatukanwa haishimiwi, udini na amani... nyuzi zako za hivi tushakushtukia lakini kama hamkujifunza kwa Magufuli mtakutana na hasira ya Mungu siku moja
 
Sioni kama unaizungumzia amani, bali naona unasisitiza watanzania tuendelee kuwa makondoo. Naona watu wanazidi kuamshwa kwenye ukondoo ndio mmajifichia kwenye amani. Kama mngekuwa mnajali amani msingekuwa mnapora chaguzi za nchi hii.
Hilo ni pimbi kama mapimbi wengine hilo lisikuumize kichwa
 
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,

Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza

Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Rudisheni bandari za wananchi acheni upumbavu, mtalambwa shauri zenu
 
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,

Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza

Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Jomba usikimbilie huko, sema hivi Viongozi wanaohusika na suala Hilo watoke mbele watoe na kujibu hoja zote zinazotolewa fullstop..wananchi wetu waridhike baasi..Sasa wakikaa kimya wale wenye Nia ovu wanapata nafasi Sasa ya kujipenyeza..suala Hilo si la Rais wetu ni suala la watendaji wawaambie wananchi kiufasaha..wasijiweke pembeni kama vile hawahusiki Sasa sijui wanataka Rais wetu ndio alisemee wakati yeye si mtaalam..kama itaonekana tulibugi Basi Mkataba upigwe chini mapema usije ukahatarisha usalama wa nchi...Tafadhali naomba sana..sana..chondechonde wahusika wajibu hoja zote za wananchi, wanasheria, viongozi mbalimbali hata wa opposition
 
Kwa hali ilivyo, nasisitiza kwa hali ilivyo,
Mamlaka ziwe makini sana na kufuatilia kwa karibu mienendo ya hivi karibuni ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,

Aina ya ukosoaji na lugha zinaztumika si sahihi hata kwa mtu aliyekosa sembuse kwa anaetengeneza

Bado nachunguza ila kwa nilivyokusanya mpaka sasa tuna wageni wengi wenye nia mbaya na tamaa ya kunywa damu tuwe makini sana.
Samia amefanya kazi kubwa sana kuikuza nchi kisiasa na kijamii na kujenga uchumi kwa kumaliza miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake.

Tuendelee kumkosoa kwenye suala la Bandari na DP WORLD kwa staha lakini tusimkosee heshima kwa matusi na dharau.

Tanzania bado iko mikono salama chini ya Samia kwa hii miaka 3 kuliko ilivyokuwa kati ya 2015 -2021
 
Jomba usikimbilie huko, sema hivi Viongozi wanaohusika na suala Hilo watoke mbele watoe na kujibu hoja zote zinazotolewa fullstop..wananchi wetu waridhike baasi..Sasa wakikaa kimya wale wenye Nia ovu wanapata nafasi Sasa ya kujipenyeza..suala Hilo si la Rais wetu ni suala la watendaji wawaambie wananchi kiufasaha..wasijiweke pembeni kama vile hawahusiki Sasa sijui wanataka Rais wetu ndio alisemee wakati yeye si mtaalam..kama itaonekana tulibugi Basi Mkataba upigwe chini mapema usije ukahatarisha usalama wa nchi...Tafadhali naomba sana..sana..chondechonde wahusika wajibu hoja zote za wananchi, wanasheria, viongozi mbalimbali hata wa opposition
Mnona tayari pm ameshaeleza juzi? Au hujapata habari?
Usijesema umemsikia ila humuamini kwa kisingizio cha eti aliongopea kifo cha magu, yaani watu wanadhani process ya kufa inachukua siku nyiiiingii, kufa ni sekunde tu, unaweza kuwa mzima kabisa dakika tano zilizopita na dakika moja ijayo unazima moto na tayaru umekufa
 
Back
Top Bottom