Mamlaka kuweni makini kuna mamluki wanataka kuleta fujo na kuisambaratisha amani yetu

Ukitaka kujua ni matusi au si matusi hembu yalekezwe kwako tuone mapokeo yako
 
Watu wengi ndani ya hizo taasisi hawapo na Mama yenu.
2024 kwenda 2025 mtaona ukweli.
 
Watu wengi ndani ya hizo taasisi hawapo na Mama yenu.
2024 kwenda 2025 mtaona ukweli.
Si shida, mama yuko fair na hata upinzani wanaweza baada ya mda mrefu kupata viti vingi bungeni na kwenye udiwani

Tatizoni ni matusi ya nguoni, bas hapo tu
 
Wenye kuharibu amani ni wenye kulazimisha mambo ya hovyo kwa taifa.
 
Wamekosa hoja wamebaki na viroja
 
Hakika mkuu,wakishashiba maharage wanaona ndio maisha hayo,kumbe bado sana
Acha kabisa.Na wakishiba ni wepesi kuingia kucheza ngoma kwa kujichanganya na fujo tele ili kuvuruga utulivu.Na hapo ndipo wanajipa uhalali wa kutujambia hovyo.Tukilalamika wanatutuliza kwa usemi wa kiswahili ..."USHUZI WA NGOMANI MJAMBAJI HAJULIKANI"...!Hapo wanatucheka wakijua fika kabisa ni nani mchafuzi wa hali ya hewa.🤔
 
Sasa hv hawatampelekesha mtu,tumewashtukia,watanganyika hawataki kuuzwa
 
Nchi ni tulivu kbs wala hakuna wa kuleta uvunjifu wa amani!! Nnachojua kuna kundi halitaki issue ya DP world ikosolewe!!
 
Kama yula Mbelgiji washughulikiwe haraka sana
 

Sidhani kama kuna mtu anataka kuhatarisha amani ya nchi.
Shida hiko kinatumila kama kivuli mkisha https://jamii.app/JFUserGuide up haalaf mkikosa kuungwa mkono mnakuja na hiyo style

Jamii imebadilika wananchi wamebadilika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…