Ninacho kupendea Mshana, mara nyingi hua unaleta HOJA fikirishi, well done brother.
Nichangie name ninavyo fahamu kidogo kuhusu hu uzi uliouleta; Ukisoma Biblia shetani (kabla ya kutupwa duniani alikua akiitwa Kerubi) hakua mkuu wa malaika kama watu wanavyo jaribu kufikiri, alikua mkuu wa Idara ya UIMBAJI, huko mbinguni inaitwa idara ya kusifu na kuabudu na Michael/Mikaeli yeye ni mkuu wa vita wakati Gabriel yeye ni mkuu wa kutoa habari; ukisoma kitabu cha Daniel nafikiri sura ya 7, malaika mmojawapo aliyetumwa kumletea habari Nabii Daniel anamwambia hivi Daniel, "....Ewe Daniel unaye pendwa sana...., maombi yako yalisikiwa tokea siku ile ulipo OMBA lakini yule mkuu wa UAJEMI alimzuia aliyetumwa nae Mikaeli mmojawapo wa wakuu..." hilo neno mmojawapo wa wakuu lina maana kwamba huko mbinguni wakuu wapo wengi! Again, hatuna hakika ni lini shetani alitupwa duniani, je ni baada ya uumbaji au kabla ya uumbaji!? No body knows kwasababu kwanini huyu huyu shetani alimuijia HAWA pale bustanini na kumdanganya!? LEt su wait from the Bible scholar to explain more