Mamlaka za juu zimeamuru takadini afunguliwe na TFF, cheo cha u-afisa habari hichoooo, pole sana Karia

Huyo jamaa hapo kushoto ndio takadini!!.?
 
Wamfungulie akachangamshe ligi...
NA KWELI AISEE MATUSI WATU WA ME MISS , SASA HIYO IKITOKEA TU FIFA WATAPOKEA EMAILS ZA KUTOSHA NA PETITIONS NAO WAICHANGAMSHE MAMLAKA YA JUU NA TFF KWA KIFUNGO KIDOGO TUBAKI NA KUSHABIKIA KINA MANDONGA
ITAKUWA NZURI SANA HADI WADHAMINI WANAOMWAGA MABILIONI WAJUE WALIKUWA WANAYATUPA JALALANI KWA VILAZA
 
Huyu jamaa ana matatizo kashagombana na karibu kila mchambuzi. Jana naona tena anaparuana na Ali kamwe.

wee mtu gani ukorofishane na karibu kila mtu.
Amelijibu hilo.

Kasema kama yeye anagombana na kila mtu na ni mbaya kiasi hicho ni kwa nini akiitisha Press zake muda wowote hata kesho akisema nitakuwa Serena Hotel mtakuja kama wote tena bure kwa gharama zenu hawalipi hata thumni mnajazana kumsikiliza mpate content ?

Kamalizia kwa kuuliza, waandishi ambao hatuwezi hata kumudu mkate wa kumimina tutaweza kushindana na jitu kama yeye ?
 
Huyu jamaa ana matatizo kashagombana na karibu kila mchambuzi. Jana naona tena anaparuana na Ali kamwe.

wee mtu gani ukorofishane na karibu kila mtu.
Ally ndiye aliyeanza kumsema Haji,mbona hukusema Ally mgomvi?
 
Haiwezekani waarabu waishike serikali kwa ajili ya huyu kiumbe.
Yaani nchi waiweke rehani kufungiwa kwa ajili ya Haji?
Hii si ni kurudisha nyuma uwekezaji katika soka?

Kama kweli kuna ujinga kama huo,mbona taarifa kufika FIFA ni rahisi sana?
peleka basi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nnavyomjua karia mkimwaga mboga anamwaga ugali mpira hua hauingiliwi na serikali tutakua kama kenya sasa huuo afisa habari ata habarisha ligi ambayo haitokuepo?? Yani watabadilishana magereza anatoka haji jela..alafu mpira wa tz unaingia jeraaa muraaaa....kwa ufupi bulzaa unachokisema hapo hakipo na sio rahisiii kutokea laaabdaaa wapunguze adhabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…